Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
Hukusoma ukaelewa nilichoandika...Kwenye UKIMWI Eiyer amenimaliza. Ni kweli Hakuna kitu kinachoitwa UKIMWI? TB inaenezwa kwa sexual intercourse? TB inaenezwa toka kwa mama kwenda kwa mtoto?
Nilisema kwamba watu waliwapachika watu waliokuwa wanaugua kwa series [mfuatano] maradhi ya kufanana kuwa walikuwa wana maradhi waliyoambukizana kwa ngono au damu.Walisema kwamba mtu aliyekuwa na ugonjwa huo na ukamhudumia bila kuwa mwangalifu anaweza kukuambukiza kama utakuwa na kidonda mkononi au ukapata kijijeraha kidogo mkononi na yeye akiwa na jeraha...
Watu hao walikuwa wakifariki kwa kuharisha,kukonda sana,kunyonyoka nywele na kuota madonda kwenye ngozi zao.Kama alianza kufa mume mke alifuata na pengine hata mtoto mchanga waliyekuwa naye au hata family member aliyekuwa akiwahudumia wakati walipokuwa wanaugua maradhi hayo...
Kitu watu walishindwa kujua ni kwamba,kwanza hizo dalili zilizotajwa nyingi ni za TB na wakati ule hakukuwa na elimu nzuri kuhusu maradhi hayo hivyo watu hawakuchukulia tahadhari wanapokuwa wanawahudumia wagonjwa wa maradhi hayo na wao waliambukizwa pia....
Ukiangalia mke na mume wanalala kitanda kimoja pamoja na mtoto wao mchanga.Wanajifunika shuka moja.Wakati wa kujamiiana wananyonyana ulimi na mengine meengi tu.Kama mwanandoa mmoja atakuwa na TB ni LAZIMA atamuambukiza mwingine hivyo ataugua aliyeanza kuwa nayo kisha atafuata mwingine naye ataugua kwa mtindo ule ule tu na mtoto wao naye watamuambukiza kwasababu TB huambukiwa kwa hewa pia....
Yule aliyekuwa anamhudumia mgonjwa naye atakuwa katika wakati mzuri zaidi wa kuambukizwa kwasababu hata kufua nguo za mjonjwa tu kunatosha kukufanya nawe uipate TB na kutokana na kutokuwa na elimu ya maradhi hayo kipindi kile hawa watu waliowahudumia wagonjwa hao walikuwa wakiambukizwa sana maradhi hayo na wao kufa baadaye...
Sasa basi,kwasababu hii watu waliamini kabisa kuwa kuna ugonjwa mpya uliokuwa unaambukizwa kwa ngono lakini haikuwa kweli kwasababu nilizozisema hapo juu.Kwa maana hiyo ni kwamba TB haiambukizwi kwa ngono bali hewa na mambo mengine mengi ambayo wanandoa au wapenzi wanashea kila siku...