Fuvu na Mifupa(Skull and Bones) Jamii ya Siri ya Kishetani inayoongoza Matukio ya Duniani

Fuvu na Mifupa(Skull and Bones) Jamii ya Siri ya Kishetani inayoongoza Matukio ya Duniani

Eiyer.... Mkuu mimi nimefatilia vizuri huu uzi na ninajivunza mengi nilokua nayajua kwa juu tu! Kuhusu suala la miji ya chini ya ardhi naona limeleta ukakasi kidogo japo mimi niliwahi kusikia juu ya miji iloundwa chini huko kusaidia incase kukiwa na vita ya nuclear mfano moscow,sikujua kama kuna mazito kiasi hicho.. Kwakua wenzetu hum mmejaalia ujuzi wa mambo ni bora mkatutoa usingizini muweke hata tupicha au kipisi chochote cha andiko kuthibitisha uwepo wa miji hiyo ili tuendelee kufaidi hizi nondo za maana.
 
[quote uid=42137 name="Eiyer" post=20998740]Kwa sisi tunaoangalia mambo kwa namna tofauti kabisa tumeona mengi kwenye hili tukio lililokuwa linatokea kwa mtindo wa series...<br /><br />Hawa watu huwa wanaacha signature zao na mara moja ukizijua tu unajua ni nani aliyefanya haya matukio....[/QUOTE]<br />Mkuu Eiyer nasoma hizi makala zako kila Mara nipatapo muda najiuliza hivi?<br /><br />Huyu Nimrod mjukuu wa Nuhu na mtoto wa Ham,mkewe Semiramis na mtoto wao Tamuz <br /><br />Mpk walipoamua kuunda utatu wao wa kikanjanja kanjanja <br /><br />Sasa mbn km hadithi yao inafanana na ule 'Utatu Mtakatifu'? hapa nani alianza na huu utatu? Km ni wao akina tamuz ,huu tunaousoma utatu mtakatifu umeanzia wapi?<br /><br />Ilipita miaka mingapi toka utatu huo wa akina Semiramis, nimrod na Tamuz ,hadi utatu huu mtakatifu? <br /><br />Maswali mengi ila majibu sina
 
<br />Mkuu Eiyer nasoma hizi makala zako kila Mara nipatapo muda najiuliza hivi?<br /><br />Huyu Nimrod mjukuu wa Nuhu na mtoto wa Ham,mkewe Semiramis na mtoto wao Tamuz <br /><br />Mpk walipoamua kuunda utatu wao wa kikanjanja kanjanja <br /><br />Sasa mbn km hadithi yao inafanana na ule 'Utatu Mtakatifu'? hapa nani alianza na huu utatu? Km ni wao akina tamuz ,huu tunaousoma utatu mtakatifu umeanzia wapi?<br /><br />Ilipita miaka mingapi toka utatu huo wa akina Semiramis, nimrod na Tamuz ,hadi utatu huu mtakatifu? <br /><br />Maswali mengi ila majibu sina
Kuna jambo mkuu unapaswa ulijue...

Kuna ahadi kadhaa ambazo Shetani aliziweka kwamba ni lazima atazitimiza na ahadi hizo zipo 6 kwenye kitabu cha Isaya....

Isaya 14:12-14
12 Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa!
13 Nawe ulisema moyoni mwako, [1] Nitapanda mpaka mbinguni, [2]Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; [3]Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, [4]Katika pande za mwisho za kaskazini.
14 [5]Nitapaa kupita vimo vya mawingu, [6]Nitafanana na yeye Aliye juu.


Hizo ahadi nimeziwekea namba kwenye alama hizi za [] na ndiyo maana watu hawa wanaiheshimu sana namba 6 kwasababu ya idadi ya hizo ahadi lakini kuna sababu nyingine zaidi ya hizo...

Angalia kwenye nyekundi hapo,aliahidi kuwa nitafanana na aliye juu.Alichokifanya ni kutengeneza mambo au mazingira ambayo yatamfanya naye afanane na Mungu na hilo la Utatu ni mojawapo....

Kibaya zaidi ni kwamba alijuwa kuanzia mwanzo kabisa ni kitu gani ambacho Mungu alichokifanya hivyo akawahi kuanzisha utatu wake fake ili aweze ku mislead watu na kufikiria kuwa utatu ni wa kipagani...

Hakuishia hapo tu kuna myth nyingi sana kuhusiana na Tammuz...

Anadaiwa alikuwa na wanafunzi 12..
Aliuawa kwaajili ya watu wake [kuwaokoa na wanyama wa msituni]
Alifunga siku 40..
Alizaliwa na bikira [Inadaiwa Semiramis hakuwa na mtoto kabla ya kumzaa Tammuz]
Ujauzito wake uliwezeshwa na "mungu" kumbuka dhana ya Semiramis kwenda mawinguni na kupata ujauzito...
Aliitwa mwana wa "mungu",nadhani unafahamu kuwa kama Nimrod alikuwa akiabudiwa na watu wake basi mtoto ambaye anadaiwa kuwa ni wake naye ni "mwana wa mungu"..

Yapo meengi sana lakini iko hivyo ili kuufanya ulimwengu uone kama kuwepo kwa utatu na kuzaliwa kwa Yesu ni hadithi za kale....
 
Eiyer.... Mkuu mimi nimefatilia vizuri huu uzi na ninajivunza mengi nilokua nayajua kwa juu tu! Kuhusu suala la miji ya chini ya ardhi naona limeleta ukakasi kidogo japo mimi niliwahi kusikia juu ya miji iloundwa chini huko kusaidia incase kukiwa na vita ya nuclear mfano moscow,sikujua kama kuna mazito kiasi hicho.. Kwakua wenzetu hum mmejaalia ujuzi wa mambo ni bora mkatutoa usingizini muweke hata tupicha au kipisi chochote cha andiko kuthibitisha uwepo wa miji hiyo ili tuendelee kufaidi hizi nondo za maana.
Mkuu vitu vingine kupata ushahidi wa picha ni kazi ngumu sana labda ushahidi wa mahali pa kuangalia au kusoma...

Hebu anza na huyu jamaa halafu utapata mwanga zaidi....

 
Mkuu vitu vingine kupata ushahidi wa picha ni kazi ngumu sana labda ushahidi wa mahali pa kuangalia au kusoma...

Hebu anza na huyu jamaa halafu utapata mwanga zaidi....


Shukrani mkuu, hii video ni ndefu kidogo ngoja nimalizie kumung'unya ubuyu kwenye ule uzi wako wa vifo vya marais kennedy na lincolin ntarudi kuifaidi hii mubashara kabisa.
 
Shukrani mkuu, hii video ni ndefu kidogo ngoja nimalizie kumung'unya ubuyu kwenye ule uzi wako wa vifo vya marais kennedy na lincolin ntarudi kuifaidi hii mubashara kabisa.
Okay,take your time and enjoy....
 
Salaam GT Eiyer. Pamoja na makala zako kuogopesha na kufikirisha zaidi huwa zinaelimisha sana.
Nimekuwa mmoja wa watu tunaojaribu kuitafuta dhana ya asili ya tofauti za rangi ila huishia kwenye maelezo ya kisayansi kitu ambacho hushindwa kukidhi kiu yangu. Nafahamu inaweza kuwa nje kidogo ya mada lakini naomba useme kidogo namna hii ilivyotokea walau kwa muhtasari ili nipate kufahamu kwanini kumetokea races.
Halafu kuhusu bara la Atlantis na wakazi wake ambao ndio hawa wanaoendelea kusambaratisha dunia,walishindwa nini kuhamia bara nyingine kuendelea na maisha baada ya bara kuzamishwa(kama nilivyosikia kwenye sources nyingine). Asante mkuu.
 
Kuna jambo mkuu unapaswa ulijue...

Kuna ahadi kadhaa ambazo Shetani aliziweka kwamba ni lazima atazitimiza na ahadi hizo zipo 6 kwenye kitabu cha Isaya....

Isaya 14:12-14
12 Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa!
13 Nawe ulisema moyoni mwako, [1] Nitapanda mpaka mbinguni, [2]Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; [3]Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, [4]Katika pande za mwisho za kaskazini.
14 [5]Nitapaa kupita vimo vya mawingu, [6]Nitafanana na yeye Aliye juu.


Hizo ahadi nimeziwekea namba kwenye alama hizi za [] na ndiyo maana watu hawa wanaiheshimu sana namba 6 kwasababu ya idadi ya hizo ahadi lakini kuna sababu nyingine zaidi ya hizo...

Angalia kwenye nyekundi hapo,aliahidi kuwa nitafanana na aliye juu.Alichokifanya ni kutengeneza mambo au mazingira ambayo yatamfanya naye afanane na Mungu na hilo la Utatu ni mojawapo....

Kibaya zaidi ni kwamba alijuwa kuanzia mwanzo kabisa ni kitu gani ambacho Mungu alichokifanya hivyo akawahi kuanzisha utatu wake fake ili aweze ku mislead watu na kufikiria kuwa utatu ni wa kipagani...

Hakuishia hapo tu kuna myth nyingi sana kuhusiana na Tammuz...

Anadaiwa alikuwa na wanafunzi 12..
Aliuawa kwaajili ya watu wake [kuwaokoa na wanyama wa msituni]
Alifunga siku 40..
Alizaliwa na bikira [Inadaiwa Semiramis hakuwa na mtoto kabla ya kumzaa Tammuz]
Ujauzito wake uliwezeshwa na "mungu" kumbuka dhana ya Semiramis kwenda mawinguni na kupata ujauzito...
Aliitwa mwana wa "mungu",nadhani unafahamu kuwa kama Nimrod alikuwa akiabudiwa na watu wake basi mtoto ambaye anadaiwa kuwa ni wake naye ni "mwana wa mungu"..

Yapo meengi sana lakini iko hivyo ili kuufanya ulimwengu uone kama kuwepo kwa utatu na kuzaliwa kwa Yesu ni hadithi za kale....
Kaka unajua mambo si mchezo....natamani hata siku nikuone
 
12168f63d542262ed3ceeb267413d763.jpg

Huyu ndio GERAMINO mwenywe.

gulu master
 
Kwenye kifo cha JFK ni kwamba yule aliuawa akiwa anajua kuwa atauawa kwasababu naye alikuwa kwenye hivi vyama vya siri..

Haya mambo wengi hawajui lakini watu kama Osama,Sadam na Gaddafi ni watu ambao walikuwa wanajua destiny yao kabisa kwasababu kuna makubaliano maalum wanaingia nao kwa kazi maalum na wanajua kabisa watakapoishia..

Wanakaa mezani na kufanya mikakati na wanateuliwa watu kwaajili ya shughuli fulani ambayo wanajua kabisa itaishia wapi kwaajili ya kutengeneza mtazamo fulani katika jamii na mfano rahisi ni ishu ya Gadafi ambapo wengi wanaamini kabisa kuwa jamaa alikuwa ni adui wa Marekani na Ulaya na hichi ndicho wanachokitaka hawa "watu" ninyi muamini....

Hakuna kutokuelewana kokote kati ya Marekani na North Korea,wanatumia kanuni yao ya kijinga sana ambayo wana tengeneza tatizo kisha wanatoa suluhu ambayo inatoa matokeo wayatakao wao....

Unadhani vita ya dunia ya pili iliisha mwezi wa 11 tarehe 11 asaa 11 jioni kwa bahati mbaya?

Unadhani bomu la Marekani lililodondoshwa Hiroshima na Nagasaki tarehe 6 na 9 mwezi wa 8 mwaka 1945 lilikuwa bahati mbaya au vita kama unavyofikiria?

Tunatakiwa tujifunze kwanza basics za haya mambo ili tuanze kuelewa mambo mengine meengi sana kwakweli na ndipo kazi ilipo.....
Mkuu upo deep sana, tuandikie huo uzi mzee hata taratibu taratibu ukipata mda, tunaopenda kusoma tutasoma kaka, gud work.
 
Okay,take your time and enjoy....


SAluti mkuu wangu Eiyer,.
unafanana sn na huyo mtu kwa avatar yako. my favorite kwa movie ya 24.
Mkuu naomba nisaidie jambo moja, cancer imechelewa sn kufika kwetu. wazungu wamekua prone sn kwa hili janga. lkn pia obama alikua maarufu sn kipindi chote cha uongozi wake, je ni member wa haya makityu. na vipi kuhusu mwanaharakati wa haki za binadamu Rev. Al sharpton nae ana mahusiano na hawa watu?
 
Asee huyu Pindar huyu kumbe yuko hapa duniani? Mmmh huko anakoishi huko...naogopa hapo umetaja Vatican
Usiogope ni simulizi tu kama simulizi nyingine za kufurahisha maana wanaoelezea wanajua machache sana
 
Nitajitahidi kufupisha kwa namna nitakavyoweza ili nisiandike maandishi mengi japokuwa siyo jambo zuri maana kuna mengine hutayajua...

Bara la Atlantis ni bara lililokuwa kwenye bahari ya atlantic baina ya bara ulaya na Amrerica ya kaskazini.Bara hili lilijulikana kama kitovu cha maendeleo duniani na wakati huo dunia ilikuwa na maendeleo makubwa mara kumi ya sasa.Jambo hili linafichwa sana kwa sababu maalum.Bara hili waliishi magiant [Nephilims] ambao waliendesha utawala duniani utawala ambao ulimuumiza sana binadamu wa kawaida.Kulikuwa kukifanyika kafara za binadamu na viungo vya binadamu vilikuwa vikitumika kwa shughuli mbali mbali za nguvu za giza.Ilifikia mahali damu ya binadamu ilikuwa ikitumika kama kinywaji cha kawaida kwa hawa viumbe..

Unaweza kujiuliza hawa Nephilim ni nani au akina nani.Nephilims ni viumbe ambao walikuwa nusu binadamu na nusu malaika ambao walipatikana baada ya malaika waasi kufanya ngono na wanawake wanadamu.Malaika waasi ndiyo waliowafundishwa wanadamu elimu za unajimu,utoaji wa mimba,kutengeneza silaha na teknolojia nyinginezo ambazo ni za hali ya juu sana.Binadamu baana ya kupata ujuzi huu walianza kuuana wao kwa wao na ndipo Mungu alipoingilia kati na kuleta gharika lililowasambaratisha viumbe wote na kuwasalimisha walioingia kwenye safina...

Maisha ya wakati huu yalikuwa ya kishetani haswa.ni maisha ya kutisha sana maana binadamu alikuwa akiishi kama vile mbuzi leo maana alikuwa akiwindwa vilivyo hadi pale ambapo Mungu alipoamua kuingilia kati.Anayetaka kulirudisha bara hili na ustaarabu ule ni Semjaza,miongoni mwa malaika wakuu walioasi wanataka kuuleta ufalme wao hapa duniani wakishirikiana na binadamu wachache wasiojua ukweli na wanaoujua wachache sana lakini kwa umakini na udanganyifu mkubwa sana wa kisayansi....

Wanataka watawale dunia na jambo hili litatokea siyo miaka mingi kutokea sasa maana wanamalizia tu na wanataka kuwaleta tena hao malaika kutoka walipo kupitia kinachoendelea kule kwenye mitambo yao ya LHC [Large Hadron Collider] kwenye project yao maarufu ya Cern ambapo wanataka kufanya kitu ambacho dunia haitakuja kusahau kamwe...

View attachment 503610 View attachment 503611
LHC

Sananda ni kiumbe wa roho ambaye anajifananisha na Yesu,picha inayotumika kwenye makanisa na ambayo watu wanaamini kuwa ni ya Yesu ni ya Sananda,kuna mengi kumhusu huyu lakini kwa hapa inatosha kusema hivyo.Watu wanadai ni picha ya Cecare Borgia lakini ukweli ni kwamba ni picha ya Sananda.Kiumbe huyu ni miongoni mwa wale malaika waasi na huyu atatumika kudanganya watu wakati watakapo fake ujio wa Yesu.....

View attachment 503607 View attachment 503608 View attachment 503609 View attachment 503609
Sananda...

Sanat Kumara ni Azazel ambaye hujulikana kama Satan Kumara maana jina lake la kwanza limebadilishwa tu herufi.Huyu inasemekana ni Shetani mwenyewe au ni second in command kwenye himaya yao hawa malaika waasi....

Nadhani nimekupa mwanga angalau kidogo....
hapa kama umeniacha kidogo na uelewa wangu mdogo huu!
huyo sananda ambaye alikuwa kwenye list la malaika walio hasi ndio shetani mkuu mwenyewe tunaye mfahamu sisi lucifer?
au lucifer ayupo kwenye hii list ya sananda?
 
hapa kama umeniacha kidogo na uelewa wangu mdogo huu!
huyo sananda ambaye alikuwa kwenye list la malaika walio hasi ndio shetani mkuu mwenyewe tunaye mfahamu sisi lucifer?
au lucifer ayupo kwenye hii list ya sananda?
Kabla sijajibu swali lako nikuombe tu kuwa uwe makini na matumisi ya herufi.hapo umeandika "aliye hasi" badala ya "aliye asi",unapoweka herufi h unakuwa umemaanisha kitu kingine kabisa hivyo kuwa makini sana mkuu....

Nikirejea kwenye swali lako ni kwamba jina au neno Lucifer siyo jina la kibiblia maana hakuna mahali kwenye biblia pamemtaja shetani kwa jina hilo isipokuwa jina hilo lina asili ya kilatin ambalo walatini walimuita hivyo huyo malaika muasi ambaye ana jina lake alilotumia kule mbinguni na halijaandikwa kwenye biblia isipokuwa vyanzo vingine...

Sananda siyo shetani bali ni miongoni mwa malaika wakuu walioasi.Walikuwa zaidi ya moja pamoja na malaika wa kawaida...
 
SAluti mkuu wangu Eiyer,.
unafanana sn na huyo mtu kwa avatar yako. my favorite kwa movie ya 24.
Mkuu naomba nisaidie jambo moja, cancer imechelewa sn kufika kwetu. wazungu wamekua prone sn kwa hili janga. lkn pia obama alikua maarufu sn kipindi chote cha uongozi wake, je ni member wa haya makityu. na vipi kuhusu mwanaharakati wa haki za binadamu Rev. Al sharpton nae ana mahusiano na hawa watu?
Obama ni Freemason wa degree ya 32 na wkasababu hiyo ni mwanachama wa Illuminati maana huwezi kuwa Mason wa degree hiyo bila kuwa mwanachama wa Illuminati wa ngazi kubwa vile vile....

Kuhusu Rev. Al Shapron sijajua kumhusu mkuu labda nitaangalia zaidi kumhusu ili nijue...
 
Kaka unajua mambo si mchezo....natamani hata siku nikuone
ninachokijua ni kidogo sana mkuu na bado najifunza.unaweza kujifunza na kujua pengine zaidi yangu mkuu maana taarifa hizi zipo kwaajili ya kila mtu.....
 
Mkuu upo deep sana, tuandikie huo uzi mzee hata taratibu taratibu ukipata mda, tunaopenda kusoma tutasoma kaka, gud work.
Nitaangalia mkuu kama nitaweza kupanga ratiba zangu vizuri ili nianze kuandika mkuu....
 
Salaam GT Eiyer. Pamoja na makala zako kuogopesha na kufikirisha zaidi huwa zinaelimisha sana.
Nimekuwa mmoja wa watu tunaojaribu kuitafuta dhana ya asili ya tofauti za rangi ila huishia kwenye maelezo ya kisayansi kitu ambacho hushindwa kukidhi kiu yangu. Nafahamu inaweza kuwa nje kidogo ya mada lakini naomba useme kidogo namna hii ilivyotokea walau kwa muhtasari ili nipate kufahamu kwanini kumetokea races.
Halafu kuhusu bara la Atlantis na wakazi wake ambao ndio hawa wanaoendelea kusambaratisha dunia,walishindwa nini kuhamia bara nyingine kuendelea na maisha baada ya bara kuzamishwa(kama nilivyosikia kwenye sources nyingine). Asante mkuu.
Mkuu ahsante kwa swali zuri,naomba tukijaaliwa uzima hili nitalijibu kesho kwa uzuri mkuu....
 
Back
Top Bottom