FY2021|22 HESLB imesajili wanafunzi wapya elfu 29 tofauti na elfu 32 wapya waliosajiliwa FY2016|2020

Awamu ya tano alikuta hazina makabati tu
Awamu ya sita kakuta Mwendazake kamkusanyia kila kitu.
Ajabu Nini hapo sasa.yeye mwenyewe Hangaya kasema viatu vya Jiwe vyimepwaya kwanini mnapambana kumuonya Hangaya awe Bora kuliko Jiwe?
Uko sahihi kabisa, na ndio maana kodi kapiga mpaka 1.9 trl.

Kwa hiyo hata hao waliopangiwa mwaka mmoja tu, wanaweza kupangiwa zaidi mwakani kwa vile makusanyo hayatarudi nyuma nin 2trl na kuendelea. Hivyo hata mikopo itapanda, pigeni kazi tu.
 
Juma,
alikua na 30,000/= akawapa watu 3, wakapata 13,000/=, kwa 10,000/= na wamwisho akapata 7,000/=

Ana pia,
alikua na 30,000/= akawapa watu 10, wakapata 3,000/= kila mmoja.

ikumbukwe wote matumizi yao ni 20,000/=

Wa Tanzania inabidi tufike wakati tupunguze kupigia makofi kila lisemwalo.
 
Watapewa kila wanachostahili,

Hii awamu sio ya majuto hata siku moja so wait
 
Utalipa tu
 
Magufuli ameacha standard ambayo kujua kama unapatia au unakosea inabidi umrejeree alifanya nin?
 
Ingawa kuna kundi la wachache wanataka kumkwamishà Mama.
 
Kuna ujinga mkubwa sana HESLB na pia maamuzi ya kipuuzi kabisa.
Wanawapa wanafunzi mkopo wa chakula na malazi bila masomo?
Mtu mwenye uelewa atatoa kwa kipaumbele;
1. Tuition
2. Meals
3. Accommodation.
 
Ndio mmewalipia watoto ada 10K katika ada zaidi ya 1M wengi wengi ili ionekane mmetoa idadi kubwa?
 
Tunajivunia kuwa na wewe
 
Kuna ujinga mkubwa sana HESLB na pia maamuzi ya kipuuzi kabisa.
Wanawapa wanafunzi mkopo wa chakula na malazi bila masomo?
Mtu mwenye uelewa atatoa kwa kipaumbele;
1. Tuition
2. Meals
3. Accommodation.
Watapewa chief Rais Samia hapendi manyanyaso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…