FY2021|22 HESLB imesajili wanafunzi wapya elfu 29 tofauti na elfu 32 wapya waliosajiliwa FY2016|2020

FY2021|22 HESLB imesajili wanafunzi wapya elfu 29 tofauti na elfu 32 wapya waliosajiliwa FY2016|2020

Ipo shida pahala, tungeboresha elimu ya Kati na ufundi. Graduate wengi Ni mzigo kwa taifa, uelewa na fursa za ajira.Sijui hitaji letu Ni nini??
Elimu yetu bado ni pyramidal structured wanaofika juu ni wachache sana
 
Awamu ya tano alikuta hazina makabati tu.

Awamu ya sita kakuta Mwendazake kamkusanyia kila kitu.

Ajabu Nini hapo sasa.yeye mwenyewe Hangaya kasema viatu vya Jiwe vyimepwaya kwanini mnapambana kumuonya Hangaya awe Bora kuliko Jiwe?
 
Hongera ziende kwa Samia raisi wa kweli wa Watanzania.
 
Kama ni nusu hebu onyesha tofauti kwenye kiwango cha pesa uone bado mama kampiga Mwendazake gap kubwa.
Budget sio shida shida ni wanufaika wamenufaika kama zinavyosema media si tuataamini vp kweli iyo pesa imetengwa bila kuona vijana wakipata kwa utimilifu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Waoooh,

Umefanya vizuri sana Rais Samia,

We proud on you mama,
 
Ukisoma taarifa hii ni Nzuri sana Literally lakini mmejaribu kufatilia hizo hela njisi zilivyotolewa kwa hao Vijana??

Kitu ambacho kinashitua Allocation kwa wanafunzi wote zimetoka za mwaka Mmoja swali linakuja Je Miaka Mingine vipi itakuaje???

Au serikali haina Hela za kutosha Maana wale Continuous miaka yao wote allocation zilikua zinatoka kama na 3 Or 4 Years inakua allocated pia kitu kingine wanafunzi wachache sana waliopata Asilimi 100 kama miaka mingine,,, karibia Asilimia 80 ya waliopata ni Hela ya Meals and Accomodations tu'

Kabla ya kufurahia Taarifa zinazotolewa tujitahidi hata kuwa tuangalia Practically.
 
Ukisoma taarifa hii ni Nzuri sana Literally lakini mmejaribu kufatilia hizo hela njisi zilivyotolewa kwa hao Vijana??

Kitu ambacho kinashitua Allocation kwa wanafunzi wote zimetoka za mwaka Mmoja swali linakuja Je Miaka Mingine vipi itakuaje?...
Hawa ni wapiga mapambio,na shida kubwa iliyopo sasa hivi waandishi wanaongwa wasiandike kitu kibaya,hii awamu ni mbaya zaidi
 
Sio wote halafu mkopo wametoa nusu nusu mno that why wameongezeka eb ngoja batch zote ziiishe ndo tuongee vizuri

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hakuna mwaka toka system ya mikopo ianze, wanafunzi wote wakapata 100%. Mabest zangu wote toka A-level wamepata mkopo, na aliyepata kiwango cha chini kabisa ni 70%. Wengi wetu ni 100%, Ni full kicheko kwetu sote hata hao wa 70%.

Mama ni people aiseee! Acha tuuuu.
 
asilimia 50 ya wanafunzi wamepewa boom tuuu.... sasa haya kama ni mafanikio sawa..... yani uwe na wanafunzi karibu elfu 50 wanapewa boom tuu halafu yawe mafanikio kweli? wengi wanashindwa kulipa ada...
😂😂😂😂 nchi inaenda kubaya zaidi,kumbuka hapo wanajitahidi kupambana na benchmark iliyoachwa,fikiria wangekuwa hawana benchmark hali ingekuwa mbaya zaidi
 
asilimia 50 ya wanafunzi wamepewa boom tuuu.... sasa haya kama ni mafanikio sawa..... yani uwe na wanafunzi karibu elfu 50 wanapewa boom tuu halafu yawe mafanikio kweli? wengi wanashindwa kulipa ada..
Hiyo takwimu ya 50% umeipata wapi? Au ndio kwa kuwapigia marafiki na kujua wamepata ngapi? Tafadhali kabla sijaenda mbali kujadili hoja, nakusihi uzishushe takwimu na chanzo.

Halafu usisahau kulinganisha na miaka mingine, maana hata miaka iliyopita kuna waliopata boom tu ila sijui ni asilimia ngapi.
 
Umesoma wapi ndugu?? Shahada za sanaa ada milioni moja au pungufu,watoto wakiwa na matumizi mazuri bado wanaweza kuchangia sehemu ya ada. Tuepuke kupenda huduma za bure. Maisha ya chuo meals,accommodation na stationeries ni changamoto zaidi kuliko ada
 
Ni kweli hili nalo linaweza kuwa neno yaani unaweza kuta mwanafunzi ni masikini lakini kapewa hela ya accomodation na meal tena nusu na ada hapewi na unaweza kuta mwanafunzi kwao wanajiweza ila kapewa mkopo wote au asilimia kubwa.
Acheni kutoa hoja kwa hisia. Unasema utakuta.... Hivi ukweli upo vipi?
 
Back
Top Bottom