G Malisa: Kamati Kuu ya CCM imewavua nyadhifa zao ndani ya chama viongozi wa UVCCM waliokubali teuzi mpya

Hata kama “wangeukataa” uDC, Mama bado alikuwa na power za kuwachomoa kutoka UVCCM. Na hali zao zingekuwa mbaya zaidi huko mbele

Yaani Rais wa Nchi na mwenyekiti wa CCM amepewa mamlaka makubwa mnoo
wacha waliwe si ndo hao hao wanaolikumbatia likatiba la hovyo.ngoja wakae benchi nao akili ziwasogee kidogo.kazi iendelee.
 
Wewe unao
Wewe unaokota kipi huko chadema?
Unaweza kuona huzuni kwenye nafasibya heri james kweli au?
Katupiwa mfupa angalau mdogo.

Yeye bado kavaa nguo wewe ambae uko uchi unaweza kumuonea huruma aliyevaa?
Tanzania na watu wake ni kazi kweli.
Unamcheka anayekula ili hali wewe hujui utakula lini.
 
Umeisoma katiba ya CCM kuhusu position aliyokuwa nayo James na namna anavyoweza kuondolewa?
Samia amejipambanua kuwa yeye ni mfuata sheria sio kama yule 'mtembea zake' aliewaaminisha kuwa Rais anaweza kufanya anavyotaka na yuko juu ya sheria. Ivyo sio kweli kuwa Rais angeweza tu kumuondoa James UVCCM. Katiba ya CCM hairuhusu huo ujinga unaosema!
Kwa ujinga huu wa baadhi ya wanachama wa CCM,no wonder mwendazake mlimfanya kama Mungu mtu
 
Wewe ni punguani!

Basi baki na upunguani wako

Haya Kheri James kaondolewa na Samia kwa kumpa udc na sasa kesho atamtumbua!
 
Lakini hoja ya Malisa G, ni kwamba Mazaa amempangua Kheri James kistaharabu, kama alivyo mpangua Kakurwa! Hoja hapa, Mazaa anasafisha ma-sukumagang kutoka kwenye system, kimtindo!
Pia ccm watamleta kijana mwingine, kama ambavyo sasa hivi kuna raisi mwingine, lakini ujue ni afadhali Mazaa kuliko mwendazake, (sore, marehemu)! At liest kwetu BAVICHA!
 
Vipi kuhusu maslah?
 
Huyu Malisa Mbona yupo busy kuzungumzia sana mambo ya chama chakavu kuliko chama pendwa cdm? Au anataka mama amuone apewe uteuzi.
Hawa vijana sio wa kuwaamini kabisA
Huyu Malisa Mbona yupo busy kuzungumzia sana mambo ya chama chakavu kuliko chama pendwa cdm? Au anataka mama amuone apewe uteuzi.
Hawa vijana sio wa kuwaamini kabisA
Aisee mkuu jamaa anajipendekeza sana aisee. Anatumia wings ya kushoto ya Sukumagang kustrike(kujipendekeza) .

Hajitambui kabsaaa. Huu ni wakati wa kujenga Chama chake cha Cdm.
 
Wewe ni punguani!

Basi baki na upunguani wako

Haya Kheri James kaondolewa na Samia kwa kumpa udc na sasa kesho atamtumbua!
Ujinga wenu unawamaliza,kaanza PolePole akafuata Bashiru na sasa Herry James!
Na hawa wote mnawatolea hoja nyepesi eti wamepewa fursa ili wapate vyeo zaidi, ni mjinga tu wa level yako ndo haelewi mchezo wa wenye akili ulivyo. Ndio maana kwa akili zenu ndogo na nzito inawapa taabu kuwaelewa watu wenye akili. Mjinga umuelewa mjinga mwenzake,mwenye akili anaeleweka kwa wenye akili wenzake. Ivyo dunia ya wajinga na wenye akili ni sawa na Mbingu na ardhi.
 
Wamebadilishwa vyeo lakini matendo yao ni yale yale
80% ya wateuliwa hawafai kulipwa pesa za walipa kodi kwa kuwa ni
Wanyanyasaji wa walipa kodi
Waongo
Wabinafsi
Wamekosa maadili
Wabinafsi
Elimu Uelewa mdogo
Wahuni tu
Dhuluma chuki visasi ndio sifa ya kuwa kiongozi kwa watawala
Fadhila zinaliangamiza Taifa

Tulipo
Serikali ijiuzulu
Bunge livunjwe
Katiba Mpya
Uchaguzi Uitishwe

Tuanze Upya

**mods tafadhalini sana msifute kila 'kukosoa na kusema ukweli
Taifa Jipya linahitajika kwa kuwaambia ukweli wahusika
Leo akina mobetto sijui samatha wanapewa wadhifa kuhusiana na pesa za walipa kodi ... this is a joke
 
Mama anakula na nyie sahani moja, mlizoea kuendesha nchi kihuni na kijambazi, mimi ni ccm kwa taarifa yako
 
Wewe ni mjinga!

Wenye maono ya mbali hiyo ni opportunity kwake maana anaweza kupanda hivyo akawa RC mwishowe mbunge hadi waziri mkuu kabisa!

Tatizo la vijana wa Mbowe ni akili fupi huona mwisho zinapoishia nyayo zao tu
Hiyo takataka iwe Waziri Mkuu?
 
Mama anakula na nyie sahani moja, mlizoea kuendesha nchi kihuni na kijambazi, mimi ni ccm kwa taarifa yako
Anakula nao sahani moja?

Kivipi maana anawatoa hapa na kuwapeleka kwenye ulaji zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…