G7 yapiga marufuku ununuzi wa mafuta Urusi

G7 yapiga marufuku ununuzi wa mafuta Urusi

Mahitaji ya mafuta yataendelea kupungua duniani kutokana na kuongezeka kwa teknolojia bila kujali swala la Russia na Ukraine na ndio maana mataifa ya kiarabu tayari yameanza kujipanga.

Kufikia mwaka 2035 Ulaya, Marekani, Canada, Japan na Australia watapiga marufuku utengenezaji wa magari yote yanayotumia nishati ya mafuta.

Hivyo mataifa yanayotegemea mafuta kama njia kuu ya kujiingizia mapato yatakuwa na wakati mgumu sana kwani mapato yao yataporomoka.

Magari yanakuja ya kutumia nishati ya umeme na jua na pia majumbani umeme wa jua ndio utakaotumika na kupelekea makampuni kama Tanesco kufa.
Aliyekwambia mafuta yanatumika kwenye magari Tu ni Nani ivi izi akili mnatoa wapii unajua maana ya crude oil au unakuja kuruka ruka Tu uku hujamaliza kunywa uji au unaisi RUSSIA kuwa msambazaji mkubwa WA mbolea duniani anabaatisha unaisi mitambo mikubwa itaendeshaa na mionzi ya jua izi ndege zitaruka na maji embu lala uamke tena Rusia na nchi zinazochimba mafuta bado zitakuwa tegemezi kwenye uchumi WA dunia Hadi 2075 ndyo mabadiliko makubwa yataanza kuonekana na kuachana na mafuta na Badoo yatakuwa yanatumika kwenye maeneo flani flani
 
Dynamics za soko, demand ikupungua lazima bei inashuka . Sisemi mimi, kanuni za soko.
Angalia hii binadamu unajua kwanini Russia anauza mafuta bei chee China na India Ila anauza Kwa bei ya soko Kwa nchi za ulaya, kabla ya hii vita India alikuwa ananunua asilimia 3 Tu ya mafuta ya urusi China alikuwa hafiki asilimia 50 kupunguza bei Kwa izi nchi Kwanza ni nchi zenye mahitaji makubwa ya mafuta kuliko nchi za ulaya Kwa pamoja pili kuchukua soko jipya pa India ambalo ni kubwa kupunguza bei kutawafanya wakimbilie kwake saivi wanaongea na indoona veitnam ili kufungua masoko mapya mshaambiwa Rusia siyo Zimbabwe watarukaruka watarudi wenyewe ningeona wajanja kama wangekata gesi kabisa
 
Kweli Tanzania elimu yetu inahitaji mageuzi makubwa. Nadhani ushabiki wako wa ushoga umekufanya kuandika utumbo huu...!!!
Wakiacha kununua mafuta ya Russia,tegemea wizi wa mafuta na mauaji(vita) ya kutisha kwenye nchi zenye mafuta. Hao ni mashetani wasiojali. Tatizo Russia hawawezi mletea ubabe. Mtokoma ninyi mnaowaona miungu watu.

Na ukumbuke, kuna bidhaa ukiwa nayo, wewe ndio utatafutwa na wateja. Sio kutafuta wateja.

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Shabiki wa ushoga ni baba yako mzazi alokuzaa
 
Angalia hii binadamu unajua kwanini Russia anauza mafuta bei chee China na India Ila anauza Kwa bei ya soko Kwa nchi za ulaya, kabla ya hii vita India alikuwa ananunua asilimia 3 Tu ya mafuta ya urusi China alikuwa hafiki asilimia 50 kupunguza bei Kwa izi nchi Kwanza ni nchi zenye mahitaji makubwa ya mafuta kuliko nchi za ulaya Kwa pamoja pili kuchukua soko jipya pa India ambalo ni kubwa kupunguza bei kutawafanya wakimbilie kwake saivi wanaongea na indoona veitnam ili kufungua masoko mapya mshaambiwa Rusia siyo Zimbabwe watarukaruka watarudi wenyewe ningeona wajanja kama wangekata gesi kabisa
Humjui Mchina ,Mchina ambaye nchi nyingi za Afrika zinajutia mikopo ya Mchina kugharamia miundo mbinu. Ukweli wa mambo Mchina ni opportunist of worst kind taking advantage ya kuboronga kwa Vladimir Putin pale Ukraine. Mchina na India kwa kutambua soko la Ulaya limeota mbawa wamepangia mbabe Putin bei ya mafuta kwa style ya TAKE IT OR LEAVE IT, offer is not negotiable my dear comrade.
 
Sijui watu tatizo ni shule au ni nini, kwani kati ya muuzaji na mnunuzi, anayemhitaji mwenzie zaidi ni nani? Si anayeuza? Tafsir ya kuuza ni kwamba wewe una uhitaji, usipokuwa na uhitaji huwezi kuuza.

Russia ktk hili ndio muathirika zaidi, ni vile tu nchini kwake vyombo vya habari vyote vimezimwa kutoa ripoy negative ktk hii inayoitwa operation.

Hawa vijana wanaojiita mashabiki wa putin wanapaswa kutazama hili sakata kwa mapana.

Mnunuzi yeye sio muhitaji? We ukigoma kununua chakula unamkomoa mwenye chakula au wewe?!
 
Kweli Tanzania elimu yetu inahitaji mageuzi makubwa. Nadhani ushabiki wako wa ushoga umekufanya kuandika utumbo huu...!!!
Wakiacha kununua mafuta ya Russia,tegemea wizi wa mafuta na mauaji(vita) ya kutisha kwenye nchi zenye mafuta. Hao ni mashetani wasiojali. Tatizo Russia hawawezi mletea ubabe. Mtokoma ninyi mnaowaona miungu watu.

Na ukumbuke, kuna bidhaa ukiwa nayo, wewe ndio utatafutwa na wateja. Sio kutafuta wateja.

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Good comment.
Hata Congo ya DR haiko stable hadi leo kwasababu ya hizo bidhaa adim.
Hadi Ukrain eti nao wanakiji portion cha walinda amani DRC kweli?
Kweli nchi zote za Africa zimeshindwa kulinda amani ilihali huku JWTZ kila mwaka wanabadilishana huko?
Hiyo nchi ni kubwa kiasi gani Dunia ikashindwa?
 
Hahahahahah G1 mnyama kutoka Kremlin anawapeleka mputa mputa hao machoko wa NATO
G7 kila siku wanakuja na jipya, kwani mwaka 2012 si ndio wali Isolate Russia from G8 zikabaki hizo G7.
Imekuaje leo tena wanarudia kilekile cha miaka 10 iliyopita au walijisahau wakaanza kuzungukana wenyew kwa wenyewe?
Mwenye kuyajua plz anidadavulie , maana sikufuatiliaga hii kitu iliianzagaje?
 
Hununui mafuta alafu bado Una nunua gesi kutoka kwake kweli western mwaka huu wamepatikana unanunua ngano, mafuta ya Kula, makaa ya mawe, gesi si angeacha kununua vyote tuone kama wao ni jeurii sana
Hujuwi siukae kimya tu. Mali za nchi ninmali ya Mungu na kamwe usitumie mali ambazo ni natural kuumiza watu. Putin sio kiongozi ni mtu hatari ktk dunia ya sasa na niseme ukweli kwa ajili ya Mungu hapaswi kuendelea kuwa Rais wa Russian federation. Hata wananchi wake hakuna anaye furahia huu ujinga anaufanya sorry
 
Hujuwi siukae kimya tu. Mali za nchi ninmali ya Mungu na kamwe usitumie mali ambazo ni natural kuumiza watu. Putin sio kiongozi ni mtu hatari ktk dunia ya sasa na niseme ukweli kwa ajili ya Mungu hapaswi kuendelea kuwa Rais wa Russian federation. Hata wananchi wake hakuna anaye furahia huu ujinga anaufanya sorry
Hapaswi wewe kama nani !!!??
RUSSIA taifa TEULE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujuwi siukae kimya tu. Mali za nchi ninmali ya Mungu na kamwe usitumie mali ambazo ni natural kuumiza watu. Putin sio kiongozi ni mtu hatari ktk dunia ya sasa na niseme ukweli kwa ajili ya Mungu hapaswi kuendelea kuwa Rais wa Russian federation. Hata wananchi wake hakuna anaye furahia huu ujinga anaufanya sorry
Kwamaana hiyo wew unamaamuzi bora kuliko Mungu mwenyewe?
 
Hujuwi siukae kimya tu. Mali za nchi ninmali ya Mungu na kamwe usitumie mali ambazo ni natural kuumiza watu. Putin sio kiongozi ni mtu hatari ktk dunia ya sasa na niseme ukweli kwa ajili ya Mungu hapaswi kuendelea kuwa Rais wa Russian federation. Hata wananchi wake hakuna anaye furahia huu ujinga anaufanya sorry
Kawaumiza au wamejiumiza? Si wamegoma wenyewe kununua sembe kwa Mangi, unataka awashikie bango? au ulitaka agawe bure?
 
Mahitaji ya mafuta yataendelea kupungua duniani kutokana na kuongezeka kwa teknolojia bila kujali swala la Russia na Ukraine na ndio maana mataifa ya kiarabu tayari yameanza kujipanga.

Kufikia mwaka 2035 Ulaya, Marekani, Canada, Japan na Australia watapiga marufuku utengenezaji wa magari yote yanayotumia nishati ya mafuta.

Hivyo mataifa yanayotegemea mafuta kama njia kuu ya kujiingizia mapato yatakuwa na wakati mgumu sana kwani mapato yao yataporomoka.

Magari yanakuja ya kutumia nishati ya umeme na jua na pia majumbani umeme wa jua ndio utakaotumika na kupelekea makampuni kama Tanesco kufa.
US kupitia Rais wao Bush Jr na Obama walikuja na sera zao za kuinvest kwenye nishati mbadala wa mafuta, ndio ikawa mwanzo wa discovery ya magali ya Tesla na rise ya Elon Musk, but still US ndio nchi pekee Duniani inayo consume mafuta mengi zaidi ya baro milion 20.
Ambapo discovery ya magali ya Tesla yanayotumia umeme, tulitegemea consumption ya mafuta ingepungua kwa US.

Kabla ya miaka ya 2010, consumption ya mafuta kwa US ilikua karibu baro milion 2, baada ya mwaka 2010 consumtion iliongezeka zaidi hadi baro milion 10.
Kwa data hizo wew manzese sijui chalambe ukuje na taarifa ya mahitaji ya mafuta kupungua wakati watu wanalia njaa sababu ya mafuta hayohayo au mwenzetu waishi Dunia ya wapi?
 
US kupitia Rais wao Bush Jr na Obama walikuja na sera zao za kuinvest kwenye nishati mbadala wa mafuta, ndio ikawa mwanzo wa discovery ya magali ya Tesla na rise ya Elon Musk, but still US ndio nchi pekee Duniani inayo consume mafuta mengi zaidi ya baro milion 20.
Ambapo discovery ya magali ya Tesla yanayotumia umeme, tulitegemea consumption ya mafuta ingepungua kwa US.

Kabla ya miaka ya 2010, consumption ya mafuta kwa US ilikua karibu baro milion 2, baada ya mwaka 2010 consumtion iliongezeka zaidi hadi baro milion 10.
Kwa data hizo wew manzese sijui chalambe ukuje na taarifa ya mahitaji ya mafuta kupungua wakati watu wanalia njaa sababu ya mafuta hayohayo au mwenzetu waishi Dunia ya wapi?
Sio kweli, naona huelewi kabisa future ya nishati ya mafuta ambayo tayari inawafanya hata waarabu waanze kujipanga.
 
Aliyekwambia mafuta yanatumika kwenye magari Tu ni Nani ivi izi akili mnatoa wapii unajua maana ya crude oil au unakuja kuruka ruka Tu uku hujamaliza kunywa uji au unaisi RUSSIA kuwa msambazaji mkubwa WA mbolea duniani anabaatisha unaisi mitambo mikubwa itaendeshaa na mionzi ya jua izi ndege zitaruka na maji embu lala uamke tena Rusia na nchi zinazochimba mafuta bado zitakuwa tegemezi kwenye uchumi WA dunia Hadi 2075 ndyo mabadiliko makubwa yataanza kuonekana na kuachana na mafuta na Badoo yatakuwa yanatumika kwenye maeneo flani flani
Subiri mwaka 2030 utaona soko la Hydrocarbons itakavyoshuka.
 
Kama urussi ana jeuri angegoma kuwauzia hizo bidhaa nchi za magharibi.

Yani watu wakuwekee vikwazo, washike Mali yako, wamsaidie na silaha adui yako alafu kisha bado unafanya nao biashara.

Hapa urussi kashikishwa ukuta
Hujawahi uza hata karanga ktk maisha yako
 
Kama urussi ana jeuri angegoma kuwauzia hizo bidhaa nchi za magharibi.

Yani watu wakuwekee vikwazo, washike Mali yako, wamsaidie na silaha adui yako alafu kisha bado unafanya nao biashara.

Hapa urussi kashikishwa ukuta
Hili jamaa siyo zima kichwani
 
Back
Top Bottom