kama lugha ingekuwa inapanda ungesoma hii ya mgalatia mwenzako ujue jinsi Nyerere alivyokuwa mshenzi wa kumsaidia Obote aliyeuwa waganda wengi kuliko AminNyerere hakuwahi kusaidia wahalifu
Kwaiyo Mwamposa mnaweza kumpa pesa ili awe muislam 🤣🤣🤣🤣Wewe hakuna hata wa kukuahidi tende. Ukiwa muislam una impact gani kwenye huo uislam?
Labda Mwamposa anaweza kuahidiwa kitu siyo wewe hata mia huna eti nusu ya utajiri wa dubai, labda Dubai ya gamboshi kwenye matunguli.
Miki hata useme unanipa dunia yote hii siwezi kuwa wale wa kupewa mabikra 72 ukifaSasa huyo Gaddafi angemwi-islamise nani maana mimi ata uniahidi inanipa nusu ya utajiri wa dubai siwezi kuwa muislamu.
Wewe utakuwa ndiyo wale wafuasi wa unyonge yaani Jiwemtu mweusi sio wakumpigania,mwisho wa siku atakutia kasoro za udini,ukabila au siasa.
walimuuwa Thomas Sankara,Patrice Lumumba na Gadafi.
[emoji115]
wote hao wametiwa kasoro za udini,siasa na ukabila.
shithole countries.
Walevi na wavuta bangi hawawezi kuvaa mabomu kwenda kuwalipua wasio lewachuki dhidi ya waislamu inakuteseni sana
unyonge na jiwe ndio kitu gani?,nyoosha maneno jiamini unamuogopa nani kwani?Wewe utakuwa ndiyo wale wafuasi wa unyonge yaani Jiwe
Waislam ni watu wa ajabu sana.Uislam wa Gaddafi haufikii wa hayati mzee ruksa, Gaddafi alikua bize na kujikwamua kwenye minyororo ya mabeberu wa WB na IMF,alikua na uchumi wake tofauti,alitaka kukata mirija ya mabeberu kuinyonya Africa ambapo Libya isingeathiriwa Tena na vikwazo vya mabeberu,Ila nyie waabudu maajabu huko kwenye visinagogi vyenu mnalishana chuki na unamtazama Gaddafi kwa jicho la dini na kufunga jicho la yakini
Mbona kama alikuwa kama JiweInawezekana wewe ndiyo umejaa fikra za kidini. Sisi wengine tulikwishajikomboa kwenye hizo fikra za kijinga miaka mingi, ndiyo maana hata familia zetu zina michanganyiko mikubwa ya kiimani. Hatuunganishwi wala kutenganishwa na fikra za kiimani.
Mimi nimeweka iliyokuwa falsafa ya Gadafi iliyokuwa imelalia kwenye fikra duni za kidini. Sijawahi kumchukia Gadafi au mtu yeyote kwa sababu ya imani yake, bali kwa matendo yake.
Hadafi alikuwa katili kwa kila aliyehoji uongozi wake. Ndiyo maana alifuta hata bunge nchini mwake. Aliua kila aliyehoji. Fuatilia historia ya utawala wake. Hata askari aliyemwua alikuwa na chuki binafsi dhidi ya Gadafi kutokana na Gadafi kumkamata ndugu yake pamoja na watu wengine, jumla watu 250, kuwapeleka gerezani, kisha kuwachukua usiku kwa siri, kuwaua na kuwazika kwenye kaburi moja. Askari wote walipewa amri ya kumkamata Gadafi ili ashtakiwe, siyo kumwua. Askari aliyemwua, alipofikishwa mahakamani kwa kosa la kumwua Gadafi, akijitetea alisema kuwa hakuona sababu ya Gadafi kushtakiwa wakati yeye Gadafi aliwaua watu wengine akiwemo kaka yake, bila ya kuwashtaki kwenye mahakama yoyote. Hata alipohukumiwa kunyongwa hadi kufa alisema kuwa alikuwa ameridhika, na anafurahi kwa kuwa amelipiza kisasi kwa Gadafi kwa mauaji aliyoyafanya kwa watu wengine.
Gadafi alionekana mtu mzuri kwa watu wa chini wasioweza kuhoji chochote. Lakini kwa wenye akili wote, alionekana ni dikteta mkubwa. Tena aliweka mfumo wa hovyo wa utawala usioeleza nani anashika madaraka ya nchi kama Rais hayupo, kama wanavyofanya madikteta wote Duniani.
Wa ajabu ni wale wanaouziwa mafuta ya alizeti na kuambiwa Yana upakoWaislam ni watu wa ajabu sana.
Wa ajabu kushinda hawa waliobarikiwa na papa mshogajiWaislam ni watu wa ajabu sana.
Ningekuwekea hapa Ushoga wa mtu fulani maarufu sana alioufanya wazi wazi.
Kwa ajili ya kupiga siyo??Yaani hutaki mabikira 72.
Inaonekana huwezi tofautisha Kati ya shetwani na babakoAmini alikuwa shetani kama alivyokuwa magufuli aliwafanyia waganda uovu meingi
Sheikh hutaki bikra 72 na MiTo ya pombeDah kama ni hivyo bora kaliwa.
Source: TRUST ME BROKeeping constant (ceteris paribus) other things, Gaddafi was a good leader.
But his hidden agenda was to Islamise all Africans. He disliked so much christians.
Ni kichwa pekee ataamini Gadafi aliuawa na walibya, jiulize kwanini Obama alijutia uamuzi wa kuivamia libyaKama alikuwa kiongozi mzuri mbona Walibya walimuua ?
Yaani wapumbavu hamuwezi kuishaGadafi alikuwa na matatizo makubwa. Alikuwa na falsafa za ajabu, akiwahamasisha waislam kuwa wazaliane sana eti huko mbeleni kutakuwa na vita kati ya Wakristo na Waislam, na hivyo waislam wazaliane sana ili kushinda hiyo vita.
Nchini mwake, kila familia iliyozaa watoto zaidi ya wanne, kila mtoto baada ya hao wanne wa mwanzo, kulikuwa na zawadi toka Serikalini. Aliamini kuwa siku moja Ulaya nzima na America zitakaliwa na kutawaliwa na waislam.