Gadner Habash amwomba Lady Jaydee arudi awe anampikia chai. Apiga nyimbo zake


Mkuu usiwadhamini saana wanawake kwenye mapenzi, wana udhaifu fulani hivi.

Usishangae jide akarudi kuchezea miti ya huyo gadna.
 
Usiwe mwehu, unataka kuniambia kuwa hujuwii madhambi aliyotenda Ruge kwa mademu? Uliza mademu aliolala nao japo alijuwa anawaachia nini mwilini kuanzia Zamaradi Mketema na wengine.
nyoosha maelezo, Ruge amemfanya nini nani???
 


Hivi jamani mnamjuwa Ruge au mnasikia tu redioni na mitandaoni?
 

hakuwa mtu mzuri lakini wake zake mnachukua na kuwaoa.na kutoa mahali na majigambo mitandaoni kuwa mmenyakua na kumuumiza boss ruge.
 
Huo mvurugo wa vipindi sijui ndio creativity au ni kutafuta tension tu baada ya kuona graph inashuka?
But wamefanya vema juu ya ngoma hio ya jide.

son of almighty God.
Clouds ni radio ya watu. Kila siku inapanda chati/graph
 
hakuwa mtu mzuri lakini wake zake mnachukua na kuwaoa.na kutoa mahali na majigambo mitandaoni kuwa mmenyakua na kumuumiza boss ruge.


Waliochukua wake zake ni wale waliokuwa wanatambiana naye nao sasa wanalia huko waliko.
 
vipi huyu aliyekuja kumuoa zamaradi naye anambebesha nani mzigo?


Mkuu unajuwa kuna ufala wa kujitakia na wa kutojijuwa.....lile jamaa ni fala la kujitakia si unaona limejiingiza kwenye mapenzi mazima mazima huku likilea watoto si wake. Sasa mtu wa namna hii wewe unamchukuliaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…