Gael Bigirimana wakati yupo Newcastle, Simba ilikuwa na kikosi hiki...

Gael Bigirimana wakati yupo Newcastle, Simba ilikuwa na kikosi hiki...

Naombeni profile yake..hapo castle kakaa muda gani..kafunga magol mangapi?vp team nyinginr alizochezea aliperfom kwa kiwango gani?asije akawa ni kama machupi morison tuliemgawia uto bure kabxa
 
Za kichwaaaaaa tu
Screenshot_20220709-214433.png
 
Screenshot_20220709-215052.png

kuna mwenzenu huku anasema mbona imekuwa gafla sana GSM kuipenda Yanga
 
Naombeni profile yake..hapo castle kakaa muda gani..kafunga magol mangapi?vp team nyinginr alizochezea aliperfom kwa kiwango gani?asije akawa ni kama machupi morison tuliemgawia uto bure kabxa

Utata uishie hapa jamaa tangu anaanza kucheza huko ulaya 2012 mpk leo ni 2022 idad ya magol alyofunga na assist alzotoa hazfkii hat za mayele za msmu huu mmoj
IMG_7763.jpg

IMG_7767.jpg

IMG_7765.jpg

IMG_7764.jpg
 
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.
Sasa msitegemee Yanga awe anafanya kazi ya kuwabeba Ili msishuke Daraja kama Walivyo fanya 1989. Acheni siasa fanyeni usajili, msimu ujao ni mgumu kuliko huu ulio Isha.
Mtakuja kumlaumu Karia bila Sababu
Vichekesho hivi tunatuma namba ipi?
 
Inabidi tuwashinikize viongozi wetu wa simba watuambie Shilingi 85 alizosema Boss Mo aliziweka kwenye Akaunti gani.

Kuna benki hapa Tanzania inapokea Shilingi 85?
 
Back
Top Bottom