Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Hawa ndo mashabiki wa Tanzania, Mtu amewahi kuwa kiongozi mkubwa lakini mwambie acoment kuhusu soka utabaki mdomo wazi. Hivi Mwiguru na Ndugai nao wana maoni kama haya?Haya pimeni wenyewe huyo babu wakati yupo kijana na wenzake vijana walikuwa hawa kikosini Simba...View attachment 2285620