Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Kama kagere na onyango wanacheza na wanawazidi vijana bigirimana atashindwa nini?Haya pimeni wenyewe huyo babu wakati yupo kijana na wenzake vijana walikuwa hawa kikosini Simba...View attachment 2285620
Naombeni profile yake..hapo castle kakaa muda gani..kafunga magol mangapi?vp team nyinginr alizochezea aliperfom kwa kiwango gani?asije akawa ni kama machupi morison tuliemgawia uto bure kabxa
Bony Siasa imemshinda amekuwa mchambuzi saizi,maana kila swala la mpira anadakia
Kiko wapi Saidoo ntibazonkizaHata kama ni mkubwa ila exposure na experience yake tu Kwa ligi yetu ni kubwa sana
Kwahyo tumekubaliana Big ni babu?Kama kagere na onyango wanacheza na wanawazidi vijana bigirimana atashindwa nini?
Labda Miaka 28 ya kunyoa kidukuSamatta kwa sasa ana miaka 28! Umri sawa kabisa na huyo Bigirimana wetu!
Hapo sasa umeongeaWala haina shida,hata kumbebea begi kabisa....... maisha ya kiafrica tunajuana inawezekana akawa 35+ ila kwa soka la Tz na Africa nzima hata 40+ unacheza tu
Vichekesho hivi tunatuma namba ipi?Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.
Sasa msitegemee Yanga awe anafanya kazi ya kuwabeba Ili msishuke Daraja kama Walivyo fanya 1989. Acheni siasa fanyeni usajili, msimu ujao ni mgumu kuliko huu ulio Isha.
Mtakuja kumlaumu Karia bila Sababu
Duh !!Haya pimeni wenyewe huyo babu wakati yupo kijana na wenzake vijana walikuwa hawa kikosini Simba...View attachment 2285620
Hapa watapita kama hawaoniView attachment 2285704
Hiyo 2010 Gael B ndio kwanza alikuwa na miaka 16,2013 alipofikisha miaka 19 akaitwa kwenye kikosi cha uingereza U- 20 na mafundi wenzake Eric Dier, John Stones,Ross Barkley,James ward-Prowse na Harry Kane
Hawawezi Kuona Mzee wanguHapa watapita kama hawaoni
Je , Samatta unamweka wapi mbona bado anaupiga tena Ulaya hebu tusubiri mchezaji mwenyewe atuthibitishie uwanjaniYondani, Kaseja, Chombo wanacheza vilabu vinavyoshiriki kimataifa? [emoji23][emoji23]
Ubabu wake utaonekana uwanjani na sio midomoni mwenuKwahyo tumekubaliana Big ni babu?
Kama babra anavyowaamkia kagere,nyoni,onyangoEngineer Hersi anapaswa awe anamuamkia Bigirimana