Gael Bigirimana wakati yupo Newcastle, Simba ilikuwa na kikosi hiki...

Naombeni profile yake..hapo castle kakaa muda gani..kafunga magol mangapi?vp team nyinginr alizochezea aliperfom kwa kiwango gani?asije akawa ni kama machupi morison tuliemgawia uto bure kabxa
 

kuna mwenzenu huku anasema mbona imekuwa gafla sana GSM kuipenda Yanga
 
Naombeni profile yake..hapo castle kakaa muda gani..kafunga magol mangapi?vp team nyinginr alizochezea aliperfom kwa kiwango gani?asije akawa ni kama machupi morison tuliemgawia uto bure kabxa

Utata uishie hapa jamaa tangu anaanza kucheza huko ulaya 2012 mpk leo ni 2022 idad ya magol alyofunga na assist alzotoa hazfkii hat za mayele za msmu huu mmoj


 
Vichekesho hivi tunatuma namba ipi?
 
Inabidi tuwashinikize viongozi wetu wa simba watuambie Shilingi 85 alizosema Boss Mo aliziweka kwenye Akaunti gani.

Kuna benki hapa Tanzania inapokea Shilingi 85?
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…