Hawa ndo mashabiki wa Tanzania, Mtu amewahi kuwa kiongozi mkubwa lakini mwambie acoment kuhusu soka utabaki mdomo wazi. Hivi Mwiguru na Ndugai nao wana maoni kama haya?Haya pimeni wenyewe huyo babu wakati yupo kijana na wenzake vijana walikuwa hawa kikosini Simba...View attachment 2285620
Mwiguru ndio nani?Hawa ndo mashabiki wa Tanzania, Mtu amewahi kuwa kiongozi mkubwa lakini mwambie acoment kuhusu soka utabaki mdomo wazi. Hivi Mwiguru na Ndugai nao wana maoni kama haya?
Ronaldo anatafutwa na Chelsea at 38, ni mbumbumbu wa Tanzania tu wanaoweza kubeza usajiri wa Bigirimana.Wala haina shida,hata kumbebea begi kabisa....... maisha ya kiafrica tunajuana inawezekana akawa 35+ ila kwa soka la Tz na Africa nzima hata 40+ unacheza tu
Samatta mwenyewe ni mzigo tu kwenye timu zake we angalia hata kiwango chake timu ya taifaJe , Samatta unamweka wapi mbona bado anaupiga tena Ulaya hebu tusubiri mchezaji mwenyewe atuthibitishie uwanjani
Harry Kane anacheza EPL yeye kaja kucheza mpira wa makaratasi Tanzania😆😆View attachment 2285704
Hiyo 2010 Gael B ndio kwanza alikuwa na miaka 16,2013 alipofikisha miaka 19 akaitwa kwenye kikosi cha uingereza U- 20 na mafundi wenzake Eric Dier, John Stones,Ross Barkley,James ward-Prowse na Harry Kane
Sasa utafananisha ubora wa Ronaldo na Big? Mbona kama huna akiliRonaldo anatafutwa na Chelsea at 38, ni mbumbumbu wa Tanzania tu wanaoweza kubeza usajiri wa Bigirimana.
😆😆😆Kama babra anavyowaamkia kagere,nyoni,onyango
Mmepigwa 🤣🤣Ubabu wake utaonekana uwanjani na sio midomoni mwenu
Sawa acha tupigwe lakini ligi ikianza msije mkaanza kupayuka mara gsm ananunua mechi mara hivi mara vile, usajili wenu tunauona wakina kyombo unaosimamisha nchi kama mlivyojinasibuMmepigwa 🤣🤣
Usiye na akili ni wewe usiyejua unataka nini. Soka huiwezi anza kuchambua karanga.Sasa utafananisha ubora wa Ronaldo na Big? Mbona kama huna akili
🤣🤣🤣mmepigwa nyie majuhaUsiye na akili ni wewe usiyejua unataka nini. Soka huiwezi anza kuchambua karanga.
Vipindi vya maisha tu Mzee wangu,kwenye hicho kikosi kuna wengine hata mpira wameacha kucheza na wengine hawajulikani walipoHarry Kane anacheza EPL yeye kaja kucheza mpira wa makaratasi Tanzania😆😆
Samatta hawezo kuwa kamzidi Feisal miaka minne tu, Samatta age imeenda yule hakosi 32-33.Samatta kwa sasa ana miaka 28! Umri sawa kabisa na huyo Bigirimana wetu!
Unataka kuniambia waliocheza utotoni na Samia wote ni marais sasa hivi?Harry Kane anacheza EPL yeye kaja kucheza mpira wa makaratasi Tanzania[emoji38][emoji38]
Tena vizuri kabisa cha muhimu kuzoea mazingira ndiyo maana timu ianze maandalizi mapemaKwa soka la bongo anacheza kabisa,,,,,
Galel alikua under 20 ya England na ki na Harry Kane mbona wenzake wanacheza tena yeye ndio mnamuona mzee peke yake?Samatta hawezo kuwa kamzidi Feisal miaka minne tu, Samatta age imeenda yule hakosi 32-33.
Hao akina Kagere wanaosema wana 36 naamini wana 40 kabisa, Africa ina kasumba ya watu wake kudanganya umri ila miili yao huwaumbua hatimae.
Wenzake wanacheza eeh, vipi yeye ?Galel alikua under 20 ya England na ki na Harry Kane mbona wenzake wanacheza tena yeye ndio mnamuona mzee peke yake?
We samatta unamuonaje? Aliosoma nao kwa Sasa wapo age ya 33+Kwa hiyo Samatta naye kumbe ni babu! Na kama akina Yondani, Kaseja, Nyoso na Ramadhani Chombo wanaendelea kucheza! Shida iko wapi kwa huyo Bigirimana!
Mbona kama huna akili?Unataka kuniambia waliocheza utotoni na Samia wote ni marais sasa hivi?
HahahaaaaBony Siasa imemshinda amekuwa mchambuzi saizi,maana kila swala la mpira anadakia