Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 442
- 1,655
Impossible is possible. Shule yangu hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Impossible is possible. Shule yangu hii
Daah asee umenikumbusha nilikaa sana chini nikiwa Form one, daah
Mmeharibu sanaa hiyo rangi wangerudishia ya asili.....Tabora boys secondary school
View attachment 3046091
Ulipitaa hapo TBS mwaka gani ??
Kweli kabisa, kuna rangi huwa zinapendezesha shule, sio nyeusi n.kMmeharibu sanaa hiyo rangi wangerudishia ya asili.....
Kabisa, hata mpangilio wa majengo uko vizuriTena majengo ya wakoloni ni mara na yapo unique sana.
Akili za kifukara na umasikini uliganda kwenye akili za watuSecondary yoyote yenye ghorofa hiyo ni batili
Jkoe
Nmepaona ndo ilkua form 5 pcm sijui paleAlumni mmepaona chimboni
shida nini ? Kusema batili na nikasema ni joke?Akili za kifukara na umasikini uliganda kwenye akili za watu
Hawa walikuwa ma-boyfriend zetu sisi wa Mtwagiseco....View attachment 3048339
Chidya secondary school -Mtwara
Luthuli enzi za mwalimu MatariMzee Unaonekana mwana Luthuli ama Mugabe kabisaa😅
mnamkumbuka Adora na Sikitu walezi wa wanaLumbila imesaidia sana Vijana kupona 😜
Kuna wakati tuliambiwa tukashiriki mazishi ya mtoto mmoja wa below 3yrs hapo Lumbila.
Mkuu wa Shule alisema Baba wa huyo mtoto alikuwa mmoja wa Mwanafunzi mwenzetu🙌
NImekaa Meru 2002-2004Likers mmepita hapo nn? Opp na Shengena dormitories, jirani na ofisi ya Lwambao,jirani na TOD,jirani na Mangire video show kitaa pale,jirani na bubu madonati,jirani na Meru dormitories 14,16
nakumbuka lile Roli tu tumewahi kulitumia kwenda kwenye michezo hili lilikuwa tayari lipo ICU 1998-2001
Hapa sio UDSM library??View attachment 3058747
Alfagems sekondari
Jamaa wengi wamepona pale, walikuwa hawajui kukataamnamkumbuka Adora na Sikitu walezi wa wana