Pre GE2025 Gambo ajibu mapigo ya Makonda "mimi nimeenda shule"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama madiwani ni wawakilishi wa wananchi , mbunge ni muwakilishi wa nani!? Sio kazi ya madiwani kuamua nani awe mbunge au huyu hafai kuwa mbunge, hiyo ni kazi ya wananchi. Hata Rais ana nguvu ya kulivunja Bunge pia, je wabunge wanakuwa hawafai!?
Hongera kwa kuvunja record ya kuandika comment ya kipuuzi tangu jf ianzishwe
 
Kama Gambo ameuweza ubunge Makonda hawezi kuushindwa.
 
Gambo ana shule gani? Ulimwengu huu bado kuna first degree holder anayejiona msomi? Degree zimekua kama certificate tuu.
 
Hawa wote wanangu! battle hii nimeshindwa kujigawa! ila wakae chini wamalize Tofauti zao! kama ni Jimbo Mwanangu Makonda njoo Kigamboni njia nyeupeeee! Gambo aendelee kuwanyoosha Atown.
 
Atatue vipi sasa na hawa wote shida yao ni ubunge,awape wote ubunge?.
 
Kwa mtazamo wangu, ukiwa msomi wala huna haja ya kujitangaza bali matendo yako yatawaonyesha watu kuwa wewe ni msomi!! Kwa majibu ya namna hii na kujigamba kwingi, hapo shule hamna! Zaidi anaendeshwa na mihemuko!!!
Hayo majigambo yake ndio ulipo mtego utakaomuangusha. Anao uhaya wa kujivuna.

Sio mbaya kuwa na huo ujivuni ikiwa unao pia unyenyekevu na ile hali ya kujishusha, kwa bahati mbaya hana sifa hiyo.
 
Usomi wake umesaidia nini? Jinga kabisa
 
Sasa naelewa ile sintofahamu mbele ya waziri wa ujenzi.... Joto la 2025 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…