Hongera kwa kuvunja record ya kuandika comment ya kipuuzi tangu jf ianzishweKama madiwani ni wawakilishi wa wananchi , mbunge ni muwakilishi wa nani!? Sio kazi ya madiwani kuamua nani awe mbunge au huyu hafai kuwa mbunge, hiyo ni kazi ya wananchi. Hata Rais ana nguvu ya kulivunja Bunge pia, je wabunge wanakuwa hawafai!?
Kama Gambo ameuweza ubunge Makonda hawezi kuushindwa.Paul Makonda a.k.a Albert Bashite Malyangili, yeye ndiye mwenye shida. Anaingilia majukumu ya Mbunge ktk namna ya hujuma kwa kutumia madaraka yake ya ukuu wa mkoa kumhujumu mbunge aliyechaguliwa na wananchi...
Anafanya hivi kwa sababu naye anautaka ubunge akidhani anaweza kuupata...
Na hii tabia, ndiyo iliyomponza mwaka 2019 akiwa RC wa DSM wakati huohuo akilitamani jimbo la Kigamboni ambalo alishindwa kwenye kura za maoni tu ndani ya chama chake na kwa sababu hiyo akaukosa ubunge na kuupoteza ukuu wa mkoa kwa wakati mmoja...
Paul Makonda hawezi kuwa mbunge wa Arusha hata afanyeje...!!
Ubunge ni mtamu sana kuliko ukuu wa mkoa maana wanaanza kuwekeana fitna kabla ya mchakato na wote ni chama kimojaGambo ni masaa ya mbele sana Kwa huyo
Aoneshe nini mkuu? π€£π€£π€£Gambo asikubali kunyanyaswa,aonyeshe Balls.
Hongera kampe bwana wakoHongera kwa kuvunja record ya kuandika comment ya kipuuzi tangu jf ianzishwe
Gambo ana shule gani? Ulimwengu huu bado kuna first degree holder anayejiona msomi? Degree zimekua kama certificate tuu.Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo, amejibu mashambulizi yanayohusiana na wito ulioibuliwa na baadhi ya madiwani wa jiji la Arusha wakimuomba Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo.
Gambo amesema kuwa yeye anatekeleza majukumu yake kama mbunge kwa ufanisi na kujivunia elimu yake, akisisitiza kuwa hakuna aliye na haki ya kumzuia kufanya kazi aliyopewa na wananchi.
Soma, Pia: Kumekucha: Madiwani Arusha waomba Paul Makonda agombee Ubunge jimbo la Arusha Mjini
"Tofauti kati ya mtu aliyeenda shule na mtu ambaye shule yake ni ya mashaka ipo wazi," alisema akisisitiza kuwa ni muhimu kwa kiongozi kuwa na elimu ya kweli ili kuhakikisha kuwa anatekeleza majukumu yake ipasavyo na kusisitiza kuwa
"Ni lazima ifike mahali uoneshe tofauti ya mtu ambaye amekwenda shule na mtu ambaye shule yake ni ya kubabaisha au ni ya mashaka. Kwa sisi ambao tuna uhakika na shule zetu, kila jambo linapotokea tunahitaji kutafakari na kufikiria na kuangalia athari ya kila kinachofanyika," aliongeza.
Katika kujibu wito wa baadhi ya madiwani ambao walimuomba Makonda achukue fomu ya kugombea ubunge, Gambo amesema kuwa hakuna mtu anayekatazwa kugombea ubunge, lakini akasisitiza kuwa mbunge anachaguliwa na wananchi na sio madiwani.
"Kama mtu ana ndoto ya kuwa mbunge, aache njia za mkato. Asubiri utaratibu na aje kwenye uchaguzi, aone kama ngoma ya kitoto inakesha," alisema kwa kujiamini.
Gambo amebainisha u pia shutuma za kwamba watu wanajaribu kutumia mamlaka zao kuingilia mchakato wa uchaguzi na kutaka kumchafua.
"Kuna watu wanaona kazi inakwenda na wananchi wanatukubali, wanataka kutumia mamlaka yao kutuchafua na kuleta ajenda zisizo na msingi.
Mbunge huyo pia amekosoa vikali hali ya baadhi ya wanasiasa kutoa machozi kwa sababu ya kushindwa kupata fedha walizokuwa wakitarajia kutumika kinyume na utaratibu.
"Kama kuna mtu analia kwa kupoteza fedha alizokuwa akitarajia, machozi hayo ni ya halali kwa sababu walijua wazi kuwa wangezitumia kwa manufaa yao binafsi," aliongeza.
Kwa kumalizia, Gambo amekumbusha kuwa yeye ni mbunge anayetekeleza majukumu yake kwa manufaa ya wananchi wa Arusha Mjini, na hakutakuwa na mtu yeyote atakayemzuia kufanya hivyo kwa kufuata utaratibu.
View attachment 3249376
Atatue vipi sasa na hawa wote shida yao ni ubunge,awape wote ubunge?.Aise! Gambo anatonesha majeraha sasa!
Nadhani kila mtu afanye kazi yake aliyoitiwa kuifanya Arusha.
Mbunge afanye kazi zake kama Mbunge,RC afanye kazi zake kama RC!
Changamoto nayo iona wote ni Vijana,wanasukumwa na mihemko ya Ujana.
Mama Abdul atatue mgogoro huo!
Hayo majigambo yake ndio ulipo mtego utakaomuangusha. Anao uhaya wa kujivuna.Kwa mtazamo wangu, ukiwa msomi wala huna haja ya kujitangaza bali matendo yako yatawaonyesha watu kuwa wewe ni msomi!! Kwa majibu ya namna hii na kujigamba kwingi, hapo shule hamna! Zaidi anaendeshwa na mihemuko!!!
Kwani yy ni nani???Hii maana yake Mama kateua kilaza
Sisi wa Chama Cha Demokrasia Makini tunawachora tu huku tumeshika remote control na popcorn πΏUbunge ni mtamu sana kuliko ukuu wa mkoa maana wanaanza kuwekeana fitna kabla ya mchakato na wote ni chama kimoja
Waache wararuaneSisi wa Chama Cha Demokrasia Makini tunawachora tu huku tumeshika remote control na popcorn πΏ
Siyo Mama Abdul, ni MAMA BUDULI .Ndo nilisikia huku Usukumani wanamwita hivyo...Mama Abduli na Bashite ndio hawakwenda shule, walipata zero form four.
Jamaa ni fala kweli, kujisifia ujinga. ila na Bashite na yeye ni walewale tu wote mafala hao.Usomi wake umesaidia nini? Jinga kabisa
Umesaidia. Ana utulivu na staha kuliko zero brain.Usomi wake umesaidia nini? Jinga kabisa
Inawezekana! Kila mtu anaweza kutafutiwa jimbo hakuna gumu kwa CCM!Atatue vipi sasa na hawa wote shida yao ni ubunge,awape wote ubunge?.
Kabisa mkuu.Jamaa ni fala kweli, kujisifia ujinga. ila na Bashite na yeye ni walewale tu wote mafala hao.
BashiteNani Sasa hajaenda shule?