pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
Moshi mjini? unachekkeshaTayari ameshaliwa kichwa, kwa ugeni anao pokea RC toka ngazi za juu na kusifia utendaji kazi wake, kwa namna ambavyo Lema Amepima na kuona Hana chake labda aende arumeru, machame au moshi mjini
Nahitimisha kwa kusema Mashaka ana mashaka na wakati ujao, kwa kuwa wakati ujao haumtaki ni kama vile roho Inaacha mwili maneno yanakuwa mengi mno
Hapo Kuna mtifuano wa kimya kimya Kati ya tarimo na ibraline..najua tu mtifuano utajitokeza hazarani vere soon ...aende akajaribu arumeru labda..