Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hakuna hasara kwa wao kutoheshimiana. Ni wanaume hao.Hawa jamaa kwanini hawaheshimiani..
Ni nani anayepaswa anza kumsujudia mwenzake!?
Wakutanishwe. Itamwagika damu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna hasara kwa wao kutoheshimiana. Ni wanaume hao.Hawa jamaa kwanini hawaheshimiani..
Ni nani anayepaswa anza kumsujudia mwenzake!?
Wakutanishwe. Itamwagika damu.
Baaasiiii
Na bado wasipotubu anguko lao liko karibu mnoGambo kasoma Advanced diploma IAA na Makonda kasoma MUCCOBS... acha watifuane kwa sababu wote walikuwa mafedhuli enzi za JPM.. wana laana hao.
📌🪒wa mtazamo wangu, ukiwa msomi wala huna haja ya kujitangaza bali matendo yako yatawaonyesha watu kuwa wewe ni msomi!
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo, amejibu mashambulizi yanayohusiana na wito ulioibuliwa na baadhi ya madiwani wa jiji la Arusha wakimuomba Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo.
Gambo amesema kuwa yeye anatekeleza majukumu yake kama mbunge kwa ufanisi na kujivunia elimu yake, akisisitiza kuwa hakuna aliye na haki ya kumzuia kufanya kazi aliyopewa na wananchi.
Soma, Pia: Kumekucha: Madiwani Arusha waomba Paul Makonda agombee Ubunge jimbo la Arusha Mjini
"Tofauti kati ya mtu aliyeenda shule na mtu ambaye shule yake ni ya mashaka ipo wazi," alisema akisisitiza kuwa ni muhimu kwa kiongozi kuwa na elimu ya kweli ili kuhakikisha kuwa anatekeleza majukumu yake ipasavyo na kusisitiza kuwa
"Ni lazima ifike mahali uoneshe tofauti ya mtu ambaye amekwenda shule na mtu ambaye shule yake ni ya kubabaisha au ni ya mashaka. Kwa sisi ambao tuna uhakika na shule zetu, kila jambo linapotokea tunahitaji kutafakari na kufikiria na kuangalia athari ya kila kinachofanyika," aliongeza.
Katika kujibu wito wa baadhi ya madiwani ambao walimuomba Makonda achukue fomu ya kugombea ubunge, Gambo amesema kuwa hakuna mtu anayekatazwa kugombea ubunge, lakini akasisitiza kuwa mbunge anachaguliwa na wananchi na sio madiwani.
"Kama mtu ana ndoto ya kuwa mbunge, aache njia za mkato. Asubiri utaratibu na aje kwenye uchaguzi, aone kama ngoma ya kitoto inakesha," alisema kwa kujiamini.
Gambo amebainisha u pia shutuma za kwamba watu wanajaribu kutumia mamlaka zao kuingilia mchakato wa uchaguzi na kutaka kumchafua.
"Kuna watu wanaona kazi inakwenda na wananchi wanatukubali, wanataka kutumia mamlaka yao kutuchafua na kuleta ajenda zisizo na msingi.
Mbunge huyo pia amekosoa vikali hali ya baadhi ya wanasiasa kutoa machozi kwa sababu ya kushindwa kupata fedha walizokuwa wakitarajia kutumika kinyume na utaratibu.
"Kama kuna mtu analia kwa kupoteza fedha alizokuwa akitarajia, machozi hayo ni ya halali kwa sababu walijua wazi kuwa wangezitumia kwa manufaa yao binafsi," aliongeza.
Kwa kumalizia, Gambo amekumbusha kuwa yeye ni mbunge anayetekeleza majukumu yake kwa manufaa ya wananchi wa Arusha Mjini, na hakutakuwa na mtu yeyote atakayemzuia kufanya hivyo kwa kufuata utaratibu.
View attachment 3249376
Kwa hiyo anatapatapa tu muheshimiwa GamboKwa mtazamo wangu, ukiwa msomi wala huna haja ya kujitangaza bali matendo yako yatawaonyesha watu kuwa wewe ni msomi!! Kwa majibu ya namna hii na kujigamba kwingi, hapo shule hamna! Zaidi anaendeshwa na mihemuko!!!
😆😆 Mbona anajitanabaisha kuwa ni msomi mbobevuMrisho Mashaka Gambo
Josephine?😆Tumuulize askofu Josephine gwajima anamjua na aliwai kumtaja.
🤣 🤣 🤣 🔊Haya maigizo ya "nimeombwa na wananchi, madiwani,viongozi wa dini" ni maigizo ya kiwango cha uchekeshaji.
Ngoja nami nitoke hapa Rufiji kwenye msiba wa Mzee Mchengerwa then natafuta madiwani 12 na kuhakikisha account ya kila mmoja wao inasoma 5 milioni,kesho utaona wamejitokeza kuongea na waandishi wa habari kuniomba sana nipitishwe kugombea ubunge bila kupingwa.
Uchawa ni tatizo kubwa sana kuliko tunavyoliona hadharani.
kwa bahati mbaya, bashite sio tu amenunua machawa wengi madiwani, amenunua hadi viongozi wa dini, na atadondokea pua kama alivyodondokea kwa ndungulile, isipokuwa kwa sasa aliyepo madarakani hana sauti kwake pengine tusemeje sasa? ila kuanzia ubongo hana (elimu) na anachojua ni kutafuta sifa tu sio kufanya jambo lenye matunda.Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo, amejibu mashambulizi yanayohusiana na wito ulioibuliwa na baadhi ya madiwani wa jiji la Arusha wakimuomba Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo.
Gambo amesema kuwa yeye anatekeleza majukumu yake kama mbunge kwa ufanisi na kujivunia elimu yake, akisisitiza kuwa hakuna aliye na haki ya kumzuia kufanya kazi aliyopewa na wananchi.
Soma, Pia: Kumekucha: Madiwani Arusha waomba Paul Makonda agombee Ubunge jimbo la Arusha Mjini
"Tofauti kati ya mtu aliyeenda shule na mtu ambaye shule yake ni ya mashaka ipo wazi," alisema akisisitiza kuwa ni muhimu kwa kiongozi kuwa na elimu ya kweli ili kuhakikisha kuwa anatekeleza majukumu yake ipasavyo na kusisitiza kuwa
"Ni lazima ifike mahali uoneshe tofauti ya mtu ambaye amekwenda shule na mtu ambaye shule yake ni ya kubabaisha au ni ya mashaka. Kwa sisi ambao tuna uhakika na shule zetu, kila jambo linapotokea tunahitaji kutafakari na kufikiria na kuangalia athari ya kila kinachofanyika," aliongeza.
Katika kujibu wito wa baadhi ya madiwani ambao walimuomba Makonda achukue fomu ya kugombea ubunge, Gambo amesema kuwa hakuna mtu anayekatazwa kugombea ubunge, lakini akasisitiza kuwa mbunge anachaguliwa na wananchi na sio madiwani.
"Kama mtu ana ndoto ya kuwa mbunge, aache njia za mkato. Asubiri utaratibu na aje kwenye uchaguzi, aone kama ngoma ya kitoto inakesha," alisema kwa kujiamini.
Gambo amebainisha u pia shutuma za kwamba watu wanajaribu kutumia mamlaka zao kuingilia mchakato wa uchaguzi na kutaka kumchafua.
"Kuna watu wanaona kazi inakwenda na wananchi wanatukubali, wanataka kutumia mamlaka yao kutuchafua na kuleta ajenda zisizo na msingi.
Mbunge huyo pia amekosoa vikali hali ya baadhi ya wanasiasa kutoa machozi kwa sababu ya kushindwa kupata fedha walizokuwa wakitarajia kutumika kinyume na utaratibu.
"Kama kuna mtu analia kwa kupoteza fedha alizokuwa akitarajia, machozi hayo ni ya halali kwa sababu walijua wazi kuwa wangezitumia kwa manufaa yao binafsi," aliongeza.
Kwa kumalizia, Gambo amekumbusha kuwa yeye ni mbunge anayetekeleza majukumu yake kwa manufaa ya wananchi wa Arusha Mjini, na hakutakuwa na mtu yeyote atakayemzuia kufanya hivyo kwa kufuata utaratibu.
View attachment 3249376
Wee em sema kweli?..Mama Abduli na Bashite ndio hawakwenda shule, walipata zero form four.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nje ya mada basi Leo nimepita mahali kuna jamaa nimemkuta kamfumania mkewe
Nikasikia jamaa anasema kwa Sauti
"Yani wewe mwanamke nimekuvumilia na hilo pua lako kubwa Kama pumbu za mtoto mdogo afu bado unanisaliti"[emoji1787]watu pale wote Hoi vicheko" [emoji119]
Daudi Albert BashiteNani Sasa hajaenda shule?
Mtemvu atakubali sasa? LolMakonda kama unataka ubunge, njoo ugombee jimbo la Kibamba, huku mbunge ni kama picha tu hakuna alichopambania wananchi.