Pre GE2025 Gambo ajibu mapigo ya Makonda "mimi nimeenda shule"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
 
Kwa mtazamo wangu, ukiwa msomi wala huna haja ya kujitangaza bali matendo yako yatawaonyesha watu kuwa wewe ni msomi!! Kwa majibu ya namna hii na kujigamba kwingi, hapo shule hamna! Zaidi anaendeshwa na mihemuko!!!
Kwa hiyo anatapatapa tu muheshimiwa Gambo
 
Reactions: Tui
Mabosi wake wote wamekwenda shule (Wananchi ambao ni wenyenchi) Kuna comment nyingine zinaonyesha ni vipi kichwani hazimo..., Badala ya hayo maneno angetumia huo muda kuelezea ni vipi ataendelea kuwatumia mabosi wake na sio kuleta mipasho...

Mbaya zaidi watu ndio wanapenda hizi drama badala ya issues....
 
hii kauli ya shule ya mashaka anataka kusema mwakilishi wa raisi nashule ya mashaka?
 
🤣 🤣 🤣 🔊
 
kwa bahati mbaya, bashite sio tu amenunua machawa wengi madiwani, amenunua hadi viongozi wa dini, na atadondokea pua kama alivyodondokea kwa ndungulile, isipokuwa kwa sasa aliyepo madarakani hana sauti kwake pengine tusemeje sasa? ila kuanzia ubongo hana (elimu) na anachojua ni kutafuta sifa tu sio kufanya jambo lenye matunda.
 
Makonda kama unataka ubunge, njoo ugombee jimbo la Kibamba, huku mbunge ni kama picha tu hakuna alichopambania wananchi.
 
Wote ni viazi tu, huyo aloenda shule angekaa tu kimya afanye kazi then waje washindane kwenye sanduku la kura, otherwise naona wanapiga tu taarabu. Maendeleo ni ya wananchi, wote kazi yao ni kuwatumikia wananchi wa Arusha, sasa wanachogombea nini?! Hii nchi hii kupata maendeleo tutasubiri sana maana viongozi wanapenda sana kutukuzwa na kuabudiwa, mko sehemu moja kama viongozi afu mnaanza kugombana na kuoneshana umwamba, hicho ndicho wananchi na serikali imewatuma?!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…