CAll of duty black opsHi?
DAYS GONE ni game ambalo liliniteka kihisia na kiakili mpaka nikajihisi na mimi ni moja ya character wa mule ndani ya game mpaka siku ile namaliza mission ya mwisho najihisi kama naenda kupoteza marafiki zangu niliodumu nao kwa muda mrefu
Warning Mission za Horde ni za kuepuka kama hauna uvumilivu unaweza usimalize mission wale wadudu ukiwaona tu kwanza vidole vinajaa Jasho ghafla pili mapigo ya moyo yanaenda mbio mpaka unamaliza kuwauwa unakuta baadhi ya vitu vyako vilivyokua mezani vimedondoka chini mpaka unafikili kama ulikua unapambana nao liveView attachment 3196996View attachment 3196997View attachment 3196998View attachment 3197000
Back in the day Call of duty modern wa fare II & III , advanced war fare. Ili bamba sana. Sikuizi utu uzima nimewaachia madogoHi?
DAYS GONE ni game ambalo liliniteka kihisia na kiakili mpaka nikajihisi na mimi ni moja ya character wa mule ndani ya game mpaka siku ile namaliza mission ya mwisho najihisi kama naenda kupoteza marafiki zangu niliodumu nao kwa muda mrefu
Warning Mission za Horde ni za kuepuka kama hauna uvumilivu unaweza usimalize mission wale wadudu ukiwaona tu kwanza vidole vinajaa Jasho ghafla pili mapigo ya moyo yanaenda mbio mpaka unamaliza kuwauwa unakuta baadhi ya vitu vyako vilivyokua mezani vimedondoka chini mpaka unafikili kama ulikua unapambana nao liveView attachment 3196996View attachment 3196997View attachment 3196998View attachment 3197000
Unajiona boss kabisaKwenye euro truck ukinunua gari zaidi ya moja ukaajiri madereva ukawa na garage zaidi ya moja income zinavyoingia kuna kafilling unakapata kanakwamba unamiliki kampuni kubwa ya usafirishaji
You is ..Utoto Raha ila nashukuru I play all 4 generations of ps ps 5 siwezi cheza is just childish stuff ku concentrate na video games labda in the future nifanye kama biashara
Simba na KenGoldHi?
DAYS GONE ni game ambalo liliniteka kihisia na kiakili mpaka nikajihisi na mimi ni moja ya character wa mule ndani ya game mpaka siku ile namaliza mission ya mwisho najihisi kama naenda kupoteza marafiki zangu niliodumu nao kwa muda mrefu
Warning Mission za Horde ni za kuepuka kama hauna uvumilivu unaweza usimalize mission wale wadudu ukiwaona tu kwanza vidole vinajaa Jasho ghafla pili mapigo ya moyo yanaenda mbio mpaka unamaliza kuwauwa unakuta baadhi ya vitu vyako vilivyokua mezani vimedondoka chini mpaka unafikili kama ulikua unapambana nao liveView attachment 3196996View attachment 3196997View attachment 3196998View attachment 3197000
You is ..
Aahhhh we jamaa unajisifia
"""siwezi cheza is just childish stuff ku concentrate na video games""""Sijisifii huo ndio ukweli
Siku Moja jamaa alidungwa kisu nikazani ni MimiKuna ngoma inaitwa IG project 🙌