Game station business: Naomba taarifa kuhusu hii biashara

Game station business: Naomba taarifa kuhusu hii biashara

Wacheza PS wengi ni watu wazima sikuhizi
Na games station ukilenga watu wazima ndio utatengeneza pesa,Lengo ni Kutengeneza sehemu

ya watu ku refresh na kuondokana na mindset za kwenda Bar na sehemu nyingine za starehe kuna

burudani ambayo nahisi watu wengi wanaiacha nyuma sijajua ni cost zinawatsha au uthubutu ila

naamini Hizi games station zikiandaliwa katika mazingira mazuri ni moja ya mradi utakaongiza pesa sana kama ilivyo MOVIE STORES...
 
Basi hii safi unaweka age restriction 18yrs na unahakikisha unazingatia hilo ili kuepuka lawama kutoka kwa wazazi na serikali.
Yani mlangoni ni 18+ na mteja anaetiliwa mashaka ananyimwa kuingia,kukiwa na misimamo nadhani hii ni biashara nzuri tu na salama kabisa,shida ni wengi wanaoiga kuifanya hii biashara,huifanya kwa udogo na matokeo yake inakua biashara ya kuvutia watoto.
 
Je ni watoto tu wanacheza hizi games?
VIpi kama ukiweka age restriction 18ys or 15yrs wateja watapatikana?
Mtaani wateja wengi ni watoto; they have time to burn; haya mambo yanaweza yakachukua muda mrefu sana...., ndio maana nikasema kuna watu wana tournaments kabisa yaani anashindana na wengine online au weekend wadau wana-host gaming party watu wanakwenda na ma-pc yao na kuanza kushindana

Mfano hio site unajisajiri ukishinda kuna zawadi..., now that is next level ya biashara kama hii ; Kila mtu kwake ila anashindana na dunia nzima
 
Yani mlangoni ni 18+ na mteja anaetiliwa mashaka ananyimwa kuingia,kukiwa na misimamo nadhani hii ni biashara nzuri tu na salama kabisa,shida ni wengi wanaoiga kuifanya hii biashara,huifanya kwa udogo na matokeo yake inakua biashara ya kuvutia watoto.
Ni nzuri sana nimevutiwa nayo, uifanye kihalali
 
Mtaani wateja wengi ni watoto; they have time to burn; haya mambo yanaweza yakachukua muda mrefu sana...., ndio maana nikasema kuna watu wana tournaments kabisa yaani anashindana na wengine online au weekend wadau wana-host gaming party watu wanakwenda na ma-pc yao na kuanza kushindana

Mfano hio site unajisajiri ukishinda kuna zawadi..., now that is next level ya biashara kama hii ; Kila mtu kwake ila anashindana na dunia nzima
Ukilenga watoto ni lazima utaleta matatizo na jamiii. Watu wazima wengi tena wastaarabu wanapenda games. Ukiwa na mtaji wa maana ukawalenga hao naamini utawapata.
 
Ukilenga watoto ni lazima utaleta matatizo na jamiii. Watu wazima wengi tena wastaarabu wanapenda games. Ukiwa na mtaji wa maana ukawalenga hao naamini utawapata.
Kwa watu wazima weka vitu kama hivi either kwenye sports centers, sehemu zenye pool, bowling alleys n.k. yaani kuna vitu mchanganyiko au sehemu ambapo wazazi watakwenda na watoto wao kucheza ku-enjoy; family gathering kwa watu wazima ambao ni gamers per se you are better off kuanzisha gaming tournaments tena ili upunguze overheads kila mtu aje na console / pc yake; ila kwa watu wa kawaida ambao game ni by the way na hautaki kulenga watoto mix it weka na vitu vingine (tena unaweza kushangaa Juice na refreshments zinakuletea faida zaidi kuliko hata PC/Console per Unit Time....
 
Kwa watu wazima weka vitu kama hivi either kwenye sports centers, sehemu zenye pool, bowling alleys n.k. yaani kuna vitu mchanganyiko au sehemu ambapo wazazi watakwenda na watoto wao kucheza ku-enjoy; family gathering kwa watu wazima ambao ni gamers per se you are better off kuanzisha gaming tournaments tena ili upunguze overheads kila mtu aje na console / pc yake; ila kwa watu wa kawaida ambao game ni by the way na hautaki kulenga watoto mix it weka na vitu vingine (tena unaweza kushangaa Juice na refreshments zinakuletea faida zaidi kuliko hata PC/Console per Unit Time....
Nice idea. Thanks😍😍
Tatizo mtaji
 
Ndugu zanguni kuna biashara huwa naionaga lakini sasa nahisi nakosa kujua naifunguaje kutokana na nature ya biashara.

Biashara ya Games Station,ni biashara ambayo taarifa zake wanazo wacheza hayo magame ambao ni vijana (toto za kishua na waliorizika flani)

Kwa circle yangu ya maisha Sina mtu hata mmoja alie karibu yangu anaecheza hata Game la nyoka kwenye Simu, yani wanaonizunguka wote biashara zao ni zile acha kazi ufanye kazi.

Nakuja Kwenu wajuzi,wafanyabiashara,na yeyote anaeweza nipa HINTS kuhusu hii biashara.

Gharama za GAMES husika,
Changamoto za games(mashine)
Mtaji Unaoweza Tosheleza.
Jinsi ya Kuanza
Kuchezesha ni Bei Gani
Matumizi Makubwa ya Ofisi,nk

Taarifa zote ambazo watu mtakua mnazijua kuhusu hii biashara,nitaomba nipatiwe.

Game Station hiii nataka iwe na games zote za PS kuanzia Ps ya Kwanza hadi Ps ya sasa PS 5.

NA Pia itakua na Games kama inayooonekana kwenye hizi Clip hapa Chini.

Package ya ALL GAMES IN ONE ROOF.

View attachment 2673993View attachment 2673994View attachment 2673992


Mwisho Kabisa Naomba KIJANA anaejua ameshawahi kucheza Game Zote hizi na anaweza SIMAMIA ofisi kama hiii Aje PM tujue namna ya kufanya.

Nahitaji Mtu wa Kusimamia OFISI hii pindi nitakapofanikiwa Ifungua kutokana na Haya mtakayonishauri kupitia biashara Hiii.
Classmate wangu baada ya kufungua hii biashara alipiga sana hela mpka akaingia bifu na wazazi baadae alipewa kesi ya ubakaji wa watoto now yupo keko gerezani
 
Nilikuuliza size ya Chumba ili ujue unaweka ngapi
Sikutaja size ya chumba mkuu kwasababu Frem siendi kuchukua "ready Build" Ni eneo la open space

ambayo ni kiwanja cha mtu tu naenda kujenga kulingana na ukubwa mtakaonishauri hapa maana idea

ya biashara ni GAMING HOUSE lakini ndani pia kutakua na MOVIE STORE na area ya kuangalizia LATEST TRENDING MOVIES zile zinazoachiwa CINEMA so eneo ni kubwa na nitajenga na vitu vitu vya kuuza accesssories za games kama hizo pads na zingine zingine.

Hivyo kwenye swala la eneo (space) ndani itakua ya kutosha ila ujenzi wa eneo la gaming ukubwa utatokana na vifaa nitakavyoendelea kushauriwa hapa.
 
Kuna jamaa wanajiita gaming house tz wako pale msasani namanga,wana hizo vr na steerring wheel pedal og za logistick,ukifika pale utaenjoy sana mkuu
na hizo video nilizoweka nimezi record pale Gaming House Msasani.... ile sehemuu wanaingiza pesa nimekua nikienda pale mara kwa mara ila kuna vitu wana miss,na ndio mana nataka fungua hii kitu kufukia vitu ambavyo sivioni pale na kuboresha ambavyo nimeviona.
 
(tena unaweza kushangaa Juice na refreshments zinakuletea faida zaidi kuliko hata PC/Console per Unit Time....
vyote hivyo vitakua included ndani mkuu kwa level ile ya Premium
 
Classmate wangu baada ya kufungua hii biashara alipiga sana hela mpka akaingia bifu na wazazi baadae alipewa kesi ya ubakaji wa watoto now yupo keko gerezani
nadhani kuna namna alikosea,hakuna biashara yyote utakayofanikiwa kama ukilenga wateja wako watakua watoto/wanafunzi.
 
na hizo video nilizoweka nimezi record pale Gaming House Msasani.... ile sehemuu wanaingiza pesa nimekua nikienda pale mara kwa mara ila kuna vitu wana miss,na ndio mana nataka fungua hii kitu kufukia vitu ambavyo sivioni pale na kuboresha ambavyo nimeviona.
Pale jamaa kaweka pesa ndefu sana,inabidi kujipanga sana na hasa upande wa location na usimamizi,wabongo mara nyingi tunaangushwa sana na upande wa usimamizi
 
Back
Top Bottom