Game station business: Naomba taarifa kuhusu hii biashara

Game station business: Naomba taarifa kuhusu hii biashara

Niliwahi kumiliki hii biashara miaka fulani maeneo ya Kawe. Asee kuna mzazi alikuja kunivamia ghafla sina hili wala lile eti namkosesha mwanae hafanyi homework akirudi shule ni game tu.

Tulipigana mpk kwenda kuamuriwa serikali za mtaa.[emoji23]

Kuna dogo mmja mshua nilikuwa nampa mashine moja yote na Pad anaenda kucheza nyumbani kwao ananilipa hesabu ya siku nzima elfu 30 hapo nakuwa na uhakika plus hesabu ya umeme sina.

Nilikuwa napendwa na madogo na kuchukiwa na wazazi.

Ikifika usiku masela wanakuja kucheza kamali wanaweka hela ukifungwa unalipa hela ya mchezo na hela ya bet.

Ni biashara nzuri ila siwezi kuifanya tena sababu ya ugomvi na wazazi na kuitwa serikali za mtaa lakin pia age yangu sasa kudeal na watoto ni ngumu.
Mkuuu kawe sehemu gani ?tupige research kwa Mara ingine,Tufanye kazi, pia inaweza kusaidia kujua masingira halisi ya kazi .
Nahitaji Sana kuwekeza
 
Mtaji nilioplan kuwekeza sio wa Hizi Ps za kimtaaani ndugu zangu.

Hii ni biashara kama biashara zingine, hivyo Mtaji ulio mezani ambao nipo willingly kuutoa kwa kuanzia ni 20m kwa Vifaaa.

Branding Office nnje na Ndani ni 10m so jumla Kuuu Ofisi nataka isile zaidi ya 30m na kama itazidi basi mnielekeze nini kitahitajika cha muhimu.

TARGET ya wateja ni HIGH INCOME customers

Si deal na Watoto labda Mzazi amlete mtoto wake maana sitokua na Game ya Bei rafiki kwa MTOTO.
Boss tupe mrejesho wa mpango wako
 
Back
Top Bottom