Gamondi anafanya sana makosa kumtumia Pacome ilihali ni majeruhi

Gamondi anafanya sana makosa kumtumia Pacome ilihali ni majeruhi

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Wengi wanahisi Pacome kaumia kutokana na game ya leo lakini ukweli ni kwamba Zizu ameumia kabla ya mechi ya pili na CRB.

Nachoshangaa kwa nini Gamondi anaendelea kumtumia na anajua alitonesha kidonda mechi na Al Ahly.

Tukimkosa Pacome na Aucho hatuwezi ipa upinzani Mamelod.
 
Wengi wanahisi Pacome kaumia kutokana na game ya leo lakini ukweli ni kwamba Zizu ameumia kabla ya mechi ya pili na CRB.

Nachoshangaa kwa nini Gamondi anaendelea kumtumia na anajua alitonesha kidonda mechi na Al Ahly.

Tukimkosa Pacome na Aucho hatuwezi ipa upinzani Mamelod.
Aucho anarudi kabla ya mechi hiyo kwa mujibu wa daktari, pili Pacome alikuwa fiti ila kuumia ni sehemu ya mchezo.

Mistake ya leo ni kwenye sabu,Gamondi kachemka,kwani yanga mechi aliitawala zaidi ya asilimia sitini, kawajaza mastraiker watatu kwenye eneo moja ndio maana ikawa rahisi sana kwa mabeki wa Azam.Sub za leo angetakiwa aingie Okrah kipindi cha pili na Farid ,atleast wangewatanua mabeki wa Azam na kupunguza kasi ya mawinga wao wa pembeni na mianya ya kupata magoli ingepatikana.

Azam leo aliingia akihiheshimu Yanga,ndio maaana hakutaka viungo wake washindane na Yanga sababu anajua viungo wa Yanga ni bora. Yeye alitulia na kuamua kutumia nafasi zake chache, japo game plan ya leo ilikuwa kupoozesha mpira ili kuwatoa Yanga kwenye mchezo na alifanikiwa.

Gamondi leo kachemka kwenye sub.
 
Wengi wanahisi Pacome kaumia kutokana na game ya leo lakini ukweli ni kwamba Zizu ameumia kabla ya mechi ya pili na CRB.

Nachoshangaa kwa nini Gamondi anaendelea kumtumia na anajua alitonesha kidonda mechi na Al Ahly.

Tukimkosa Pacome na Aucho hatuwezi ipa upinzani Mamelod.
We daktari wa timu?
 
Aucho anarudi kabla ya mechi hiyo kwa mujibu wa daktari, pili Pacome alikuwa fiti ila kuumia ni sehemu ya mchezo.

Mistake ya leo ni kwenye sabu,Gamondi kachemka,kwani yanga mechi aliitawala zaidi ya asilimia sitini, kawajaza mastraiker watatu kwenye eneo moja ndio maana ikawa rahisi sana kwa mabeki wa Azam.Sub za leo angetakiwa aingie Okrah kipindi cha pili na Farid ,atleast wangewatanua mabeki wa Azam na kupunguza kasi ya mawinga wao wa pembeni na mianya ya kupata magoli ingepatikana.

Azam leo aliingia akihiheshimu Yanga,ndio maaana hakutaka viungo wake washindane na Yanga sababu anajua viungo wa Yanga ni bora. Yeye alitulia na kuamua kutumia nafasi zake chache, japo game plan ya leo ilikuwa kupoozesha mpira ili kuwatoa Yanga kwenye mchezo na alifanikiwa.

Gamondi leo kachemka kwenye sub.
Nadhani alichokifanya kimetokana na kuhamaki, hakutegemea kabisa jambo lile la Pacome kuumia. Hivyo hakuumiza kichwa katika kupanga plan sahihi bali alifanya ni kutimiza idadi ya wachezaji 11 uwanjani.
 
Aya ni majeraha ya uchovu, wamecheza mfulilizo ila kwakua ni majeraha ya uchovu tiba yake ni mapumziko tu.
Mechi ya mamelodi wote watakuwepo.
 
Pacome & Yao Wameumia Tuombe Wasiwe Wamepata Majeraha Makubwa Maana Aucho Pia Kufanyiwa Upasuaji Week Iliyopita.

Kibwana Shomari Aliumia Mechi Ya Geita.

Daah Hizi Injury Zimetuandama.
Pacome na yao ndio muhimu ,shomari kibwana ni mlonzi na mganga wa jadi kaacha mambo ya boli kitambo.
 
Nadhani alichokifanya kimetokana na kuhamaki, hakutegemea kabisa jambo lile la Pacome kuumia. Hivyo hakuumiza kichwa katika kupanga plan sahihi bali alifanya ni kutimiza idadi ya wachezaji 11 uwanjani.
Hamna alikuwa na muda mwingi wa kufanya sub, sema yy mwenyewe alichemka,leo Azam hawa kucheza mpira mzuri, ila walicheza objective football, wamepaki basi lao na kiwavizia Yanga wakapata chance zao mbili wakamaliza mchezo na kuendelea kupoozesha mpira.Hawa kutaka kabisa kushindana na Yanga kumiliki mpira.
 
Gamondi ana Plan A tu.. Kujaza viungo katikati na kutegemeA ku penetrate katikati.. hana plan B ya Mawinga
Ndio maana Walimtoa Moloko bila sababu ya Msingi
Halafu Gede yupo slow na hatafuti mipira
 
Kwa mujibu wa Dr ataimudu,sasa kama unaleta unazi wako sawa.
Mbona unajiwenga kijana?

Achana na matokeo ya leo ndivyo ilivyo kwenye mpira.

Mi sijauliza kwa kebehi nimeuliza technically.

Mchezaji anayetoka kwenye majeraha huwa nakuwa na personal training yake ya kumuangalia utimamu wake wa kimwili.

Sasa huo muda wa jambo hilo kufanyika ukiangalia na ratiba ya mechi unaona kabisa kuna vitu vitatakiwa kufosiwa ili Aucho aweze kucheza.

Labda kama hakuwa na jeraha baya kulingana na eneo la mwili alilopata hilo jeraha.

Lakini match fitness nayo pia ni muhimu. Mnaweza kukizungumza hili vizuri siku ambayo mmepoteza mechi
 
Back
Top Bottom