Mwiba1
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 1,122
- 2,445
Hata kama akicheza hawezi kuwa fit..plus confidence zero, mchezaji akitoka majeruhi huogopa sana migongano
Unatamani hasicheze ila ripoti ya Dr ni tofauti.Ila ina zihirisha hata wewe unamuogopa, uzuri atacheza siku hiyo so husikose burudani tar 30.