Gamondi anafanya sana makosa kumtumia Pacome ilihali ni majeruhi

Gamondi anafanya sana makosa kumtumia Pacome ilihali ni majeruhi

Unapenda matokeo yawe hivyo uzuri hayatakuwa hivyo.Ila ww Mwakarobo Al Ahly unamfunga?

Maana nyie kuishia robo ndio maisha yenu ya kila siku so msiforce tufanane.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mie sitakii, lol
 
Shabiki wengi WA timu hiyo hawajasoma. Wanashindwa vijiweni wakidanganyana kuwa Yanga INA uwezo WA kumfunga hata Real Madrid[emoji851][emoji851]
Mashabiki wa uto wamevurugwa vibayaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo nimechachua na kuwanawa watu, hawana hamu na mie kabisaaa.

Watu wanaishia kusema "nafuta no yako" najibu futaaaa fastaaa afu pita hiviii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie najimudu na najiwezaa bhanaaa
 
Mtu anagongana na wadada machangudoa wa Kinondoni huko, mnakuja kumlalamikia Gamondi kweli..?? Insanity. Kibabage kachoma goal zote 2 na hamuongei kitu.
 
Aucho anarudi kabla ya mechi hiyo kwa mujibu wa daktari, pili Pacome alikuwa fiti ila kuumia ni sehemu ya mchezo.

Mistake ya leo ni kwenye sabu,Gamondi kachemka,kwani yanga mechi aliitawala zaidi ya asilimia sitini, kawajaza mastraiker watatu kwenye eneo moja ndio maana ikawa rahisi sana kwa mabeki wa Azam.Sub za leo angetakiwa aingie Okrah kipindi cha pili na Farid ,atleast wangewatanua mabeki wa Azam na kupunguza kasi ya mawinga wao wa pembeni na mianya ya kupata magoli ingepatikana.

Azam leo aliingia akihiheshimu Yanga,ndio maaana hakutaka viungo wake washindane na Yanga sababu anajua viungo wa Yanga ni bora. Yeye alitulia na kuamua kutumia nafasi zake chache, japo game plan ya leo ilikuwa kupoozesha mpira ili kuwatoa Yanga kwenye mchezo na alifanikiwa.

Gamondi leo kachemka kwenye sub.
Muwe mnatusikiliza wakubwa tukiongea, sio wote mashabiki maandazi.
 
Wengi wanahisi Pacome kaumia kutokana na game ya leo lakini ukweli ni kwamba Zizu ameumia kabla ya mechi ya pili na CRB.

Nachoshangaa kwa nini Gamondi anaendelea kumtumia na anajua alitonesha kidonda mechi na Al Ahly.

Tukimkosa Pacome na Aucho hatuwezi ipa upinzani Mamelod.
kamtumia wapi?
 
Kwemaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kawa matokeo ya Yanga yamekufanya ushahau mpaka matatizo yenu ila sio mbaya mmepiga picha na Mayele. Wakina Mangungu wataitumia kuombea kura na uzuri mtawapa.
 
Kama kawa matokeo ya Yanga yamekufanya ushahau mpaka matatizo yenu ila sio mbaya mmepiga picha na Mayele. Wakina Mangungu wataitumia kuombea kura na uzuri mtawapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] salamu tyuuh, lakini yanakutoka maneno shaziii.
Mtani em tulia bhana. Lol
 
Back
Top Bottom