Unatamani hasicheze ila ripoti ya Dr ni tofauti.Ila ina zihirisha hata wewe unamuogopa, uzuri atacheza siku hiyo so husikose burudani tar 30.
Hayo maneno yako tutayaona uwanjani.Hata kama akicheza hawezi kuwa fit..plus confidence zero, mchezaji akitoka majeruhi huogopa sana migongano
Wewe yaga hawezi kumfunga mamelodi never..timu imekamilika ile sio wewe bado una kina mwamnyetoHayo maneno yako tutayaona uwanjani.
huyu ni MEMKWA mkuu msamehe bureHuo uandishi mwanzo nilijua ni kupagawa baada ya kichapo, ila saizi ni kama ni tabia yako tu
Unapenda matokeo yawe hivyo uzuri hayatakuwa hivyo.Ila ww Mwakarobo Al Ahly unamfunga?Wewe yaga hawezi kumfunga mamelodi never..timu imekamilika ile sio wewe bado una kina mwamnyeto
Kumfunga alahly kwanguvmimi sio stori nilishamfunga na nitaendelea kumfunga..na hiyo ndio derby ya africa kwa sasaUnapenda matokeo yawe hivyo uzuri hayatakuwa hivyo.Ila ww Mwakarobo Al Ahly unamfunga?
Maana nyie kuishia robo ndio maisha yenu ya kila siku so msiforce tufanane.
Msimamo unaweza kugeuka muda wowoteSasa nipagawe vip kwani msimamo unasemaje?
Kwani nani ambaye hajawahi kumfunga Al Ahly Mwakarobo?. Halafu issue sio kumfunga Al Ahly ,issue ni kumtoa, ila tunakujua wewe mzee wa robo.Kumfunga alahly kwanguvmimi sio stori nilishamfunga na nitaendelea kumfunga..na hiyo ndio derby ya africa kwa sasa
Ndio ugeuze sasa,ila kwa sasa ndio upo vile.
Shabiki wengi WA timu hiyo hawajasoma. Wanashindwa vijiweni wakidanganyana kuwa Yanga INA uwezo WA kumfunga hata Real Madrid🤓🤓Huko shule ulisomea ujinga
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga inakikosi kipana wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata muwe na pacome watatu nyie mamelodi hamuwawezi
Yaan mtasema yoteee, bado mamelod mtataja had majini yenu mnayotumiaga. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aucho anarudi kabla ya mechi hiyo kwa mujibu wa daktari, pili Pacome alikuwa fiti ila kuumia ni sehemu ya mchezo.
Mistake ya leo ni kwenye sabu,Gamondi kachemka,kwani yanga mechi aliitawala zaidi ya asilimia sitini, kawajaza mastraiker watatu kwenye eneo moja ndio maana ikawa rahisi sana kwa mabeki wa Azam.Sub za leo angetakiwa aingie Okrah kipindi cha pili na Farid ,atleast wangewatanua mabeki wa Azam na kupunguza kasi ya mawinga wao wa pembeni na mianya ya kupata magoli ingepatikana.
Azam leo aliingia akihiheshimu Yanga,ndio maaana hakutaka viungo wake washindane na Yanga sababu anajua viungo wa Yanga ni bora. Yeye alitulia na kuamua kutumia nafasi zake chache, japo game plan ya leo ilikuwa kupoozesha mpira ili kuwatoa Yanga kwenye mchezo na alifanikiwa.
Gamondi leo kachemka kwenye sub.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mara hii Guede ni tatizo? Jamani uto muwajie taratibu wachezaji ebooo.Gamondi ana Plan A tu.. Kujaza viungo katikati na kutegemeA ku penetrate katikati.. hana plan B ya Mawinga
Ndio maana Walimtoa Moloko bila sababu ya Msingi
Halafu Gede yupo slow na hatafuti mipira
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi huruma maskiniii.Unatamani hasicheze ila ripoti ya Dr ni tofauti.Ila ina zihirisha hata wewe unamuogopa, uzuri atacheza siku hiyo so husikose burudani tar 30.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi wee unaandika mipasho hiviii? Wallah umevurugwaaa khaaaaahLake mtu halimtapishi na huo ni mtizamo wako, hata wewe ulicho andika ni ujinga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ninyi ni watu gani?msiokubali kufungwa ht mara moja?!
Mnaamini zaidi uchawi kuliko Mungu anaeamini Mungu lazima ajue kusjinda na kushindwa
Acheni hizoo mambo mnamkosea Mungu mnooo