Gamondi anafanya sana makosa kumtumia Pacome ilihali ni majeruhi

Unapenda matokeo yawe hivyo uzuri hayatakuwa hivyo.Ila ww Mwakarobo Al Ahly unamfunga?

Maana nyie kuishia robo ndio maisha yenu ya kila siku so msiforce tufanane.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mie sitakii, lol
 
Shabiki wengi WA timu hiyo hawajasoma. Wanashindwa vijiweni wakidanganyana kuwa Yanga INA uwezo WA kumfunga hata Real Madrid[emoji851][emoji851]
Mashabiki wa uto wamevurugwa vibayaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo nimechachua na kuwanawa watu, hawana hamu na mie kabisaaa.

Watu wanaishia kusema "nafuta no yako" najibu futaaaa fastaaa afu pita hiviii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie najimudu na najiwezaa bhanaaa
 
Mtu anagongana na wadada machangudoa wa Kinondoni huko, mnakuja kumlalamikia Gamondi kweli..?? Insanity. Kibabage kachoma goal zote 2 na hamuongei kitu.
 
Muwe mnatusikiliza wakubwa tukiongea, sio wote mashabiki maandazi.
 
kamtumia wapi?
 
Kwemaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kawa matokeo ya Yanga yamekufanya ushahau mpaka matatizo yenu ila sio mbaya mmepiga picha na Mayele. Wakina Mangungu wataitumia kuombea kura na uzuri mtawapa.
 
Kama kawa matokeo ya Yanga yamekufanya ushahau mpaka matatizo yenu ila sio mbaya mmepiga picha na Mayele. Wakina Mangungu wataitumia kuombea kura na uzuri mtawapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] salamu tyuuh, lakini yanakutoka maneno shaziii.
Mtani em tulia bhana. Lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…