Tetesi: Gamondi and Yanga business is over. Yanga seeking a new manager

Tetesi: Gamondi and Yanga business is over. Yanga seeking a new manager

Huyo matter core kila siku anahangaika na gamond, amekukosea nini kwani master wa ball?
 
Yanga imenikera sana kumsajili Aziz Ki kwa mkataba mfupi. Bora hata gamondi.

Ila kwa aziz kii ni upumbavu kumpa miaka miwili tu.
Usajili wa wachezaji ni kama kamari. Wakati Ki anakuja alikuwa wa kawaida na alisugulishwa sana benchi na Fei Toto, na hakuna aliyejutia Ki kuwa na mkataba mfupi. Lakini msimu wa pili ameongeza makali mara dufu, sasa hapo ndipo mtu anaweza kuanza kujutia kama hivi
 
Anahitaji pesa nyingi kitu ambacho sioni kama ni sawa maana timu ndio ime-mbrand. Hata Ki akiendelea na msimamo wake wa kutaka pesa nyingi bora aende tutapata wengine bora zaidi
Kabla ya kuja yanga Gamond alishafundisha timu nyingi kubwa kuliko yanga ikiwemo Mamelody.
Kama unafikiri mmembrand tafuteni kocha wa kawaida halafu mumbrand Kama inavyodai.
 
Usajili wa wachezaji ni kama kamari. Wakati Ki anakuja alikuwa wa kawaida na alisugulishwa sana benchi na Fei Toto, na hakuna aliyejutia Ki kuwa na mkataba mfupi. Lakini msimu wa pili ameongeza makali mara dufu, sasa hapo ndipo mtu anaweza kuanza kujutia kama hivi
Ndio maana tunawambia mvumiliane Jobe na Fred,mwakani watakuwa wazuri.
 
Yanga imenikera sana kumsajili Aziz Ki kwa mkataba mfupi. Bora hata gamondi.

Ila kwa aziz kii ni upumbavu kumpa miaka miwili tu.
Unampa mkataba wa miaka miwili MVP wa ligi ya Ivory Coast? Hapo tukubali Engineer alichochora.
 
Unampa mkataba wa miaka miwili MVP wa ligi ya Ivory Coast? Hapo tukubali Engineer alichochora.
Usiwe na kichwa kigumu kuna wachezaji hawakubali ku sign mkataba wa muda mrefu kwa sababu wanazo zijua wenyewe, pia mchezaji kua MVP sio grantee atafanya vizuri Hazard alienda Madrid wa moto nini kilitokea? Kramo wa Asec na huyu aliepo Simba ni watu wawili tofauti kabisa
 
Unampa mkataba wa miaka miwili MVP wa ligi ya Ivory Coast? Hapo tukubali Engineer alichochora.
Usiwe na kichwa kigumu kuna wachezaji hawakubali ku sign mkataba wa muda mrefu kwa sababu wanazo zijua wenyewe, pia mchezaji kua MVP sio grantee atafanya vizuri Hazard alienda Madrid wa moto nini kilitokea? Kramo wa Asec na huyu aliepo Simba ni watu wawili tofauti kabisa
 
Usiwe na kichwa kigumu kuna wachezaji hawakubali ku sign mkataba wa muda mrefu kwa sababu wanazo zijua wenyewe, pia mchezaji kua MVP sio grantee atafanya vizuri Hazard alienda Madrid wa moto nini kilitokea? Kramo wa Asec na huyu aliepo Simba ni watu wawili tofauti kabisa
Sawa mwenye kichwa kilaini. Nani anayeenda kula hasara hapo? Mchezaji kaprove kiwango kwenye Ligi bora kaprove kiwango CAF, kwanini usitake Risk kumtimizia maslahi yake?
Nadhani kichwa chako laini kina ufahamu kuhusu kipengere cha "Release Clause" kwanini wasingemshawishi kukiweka?

Kuna wakati hutakiwi kuwa Oya Oya unatakiwa ukitumie kichwa chako laini vizuri kabisa. Kwa akili ndogo tu unagundua Yanga wamescrew up na ukitaka kuthibitisha hili angalia trend ya mastar wataowasajili kuanzia sasa na aina ya mikataba watayowapa. Sina wasiwasi na Engineer ni kiongozi bora atajifunza kutokana na makosa. Ndivyo Uongozi Bora Ulivyo.

Ni ngumu kunielewa ukiwa Oya Oya.
 
Kama wana Simba hizo sio shida zetu... 😊 😊 😊 😀 😀 😀
 
You're trying but you need some retooling, try to read carefully on what you have written will notice the mistakes
Si umemwelewa lakini? Nia ndo hiyo, hakuna cheti cha kuongea kingereza. Ni lugha tu. Nia ni kueleweka.
 
Sawa mwenye kichwa kilaini. Nani anayeenda kula hasara hapo? Mchezaji kaprove kiwango kwenye Ligi bora kaprove kiwango CAF, kwanini usitake Risk kumtimizia maslahi yake?
Nadhani kichwa chako laini kina ufahamu kuhusu kipengere cha "Release Clause" kwanini wasingemshawishi kukiweka?

Kuna wakati hutakiwi kuwa Oya Oya unatakiwa ukitumie kichwa chako laini vizuri kabisa. Kwa akili ndogo tu unagundua Yanga wamescrew up na ukitaka kuthibitisha hili angalia trend ya mastar wataowasajili kuanzia sasa na aina ya mikataba watayowapa. Sina wasiwasi na Engineer ni kiongozi bora atajifunza kutokana na makosa. Ndivyo Uongozi Bora Ulivyo.

Ni ngumu kunielewa ukiwa Oya Oya.
Basi nenda kawe kiongozi wewe ambae sio oya oya tukuone
 
Well Gamondi and Yanga part away. it's over.

Yanga will have a new manager next season as tonight:

Gamondi refused a long term contract

Gamondi is still in contact with other big teams.

Gamondi has a contract but he is yet to sign.


these are Gamondi words a few minutes before yanga post.



Nimemsagia kunguni sana huyu jamaa 😂😂😂.

Akibaki sijui nitawaambia watu nini 😂
Akiondoka Gamondi tutamuomba Benchika arudi Bongo, atatufaa sana yule.
 
Kwa Nabi mlihangaika hivi hivi saa hizi mmeshasahau
 
Back
Top Bottom