Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hilo ndo la msingi.Tumeshaelewana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ndo la msingi.Tumeshaelewana
benchika ni very expensive. hizo pesa za benchika anazo mo tuAkiondoka Gamondi tutamuomba Benchika arudi Bongo, atatufaa sana yule.
sana uongo. yanga waanze mikakati ya kocha mpya mapema sanaYupo Sana Yanga Aende Wapi
Hakuna mtu ambaye yupo hapa duniani kwa ajiri ya kukufurahisha. Kama jambo linakukela ni suala la wewe kulikwepa tu.Kati ya vitu vinavyokera ni kusoma viinglish vya kibongo. Si tuandike tu kiswahili jamani
Hakuna mtu ambaye yupo hapa duniani kwa ajiri ya kukufurahisha. Kama jambo linakukela ni suala la wewe kulikwepa tu.
Hata hiyo release clause kingekuwepo, mkataba ukiisha hakifanyi kazi na mchezaji anaondoka bureSawa mwenye kichwa kilaini. Nani anayeenda kula hasara hapo? Mchezaji kaprove kiwango kwenye Ligi bora kaprove kiwango CAF, kwanini usitake Risk kumtimizia maslahi yake?
Nadhani kichwa chako laini kina ufahamu kuhusu kipengere cha "Release Clause" kwanini wasingemshawishi kukiweka?
Kuna wakati hutakiwi kuwa Oya Oya unatakiwa ukitumie kichwa chako laini vizuri kabisa. Kwa akili ndogo tu unagundua Yanga wamescrew up na ukitaka kuthibitisha hili angalia trend ya mastar wataowasajili kuanzia sasa na aina ya mikataba watayowapa. Sina wasiwasi na Engineer ni kiongozi bora atajifunza kutokana na makosa. Ndivyo Uongozi Bora Ulivyo.
Ni ngumu kunielewa ukiwa Oya Oya.
Sasa umeongea nini?? language ni means of communication vingine extra tu. na pia. hatupo kukufurahisha humu , unaweza sepa , hata ukifa , we won't care.Kadiri unavyonyamaza ndivyo unavyoweza kusikia zaidi. Anyway pole kwa stress
Sasa umeongea nini?? language ni means of communication vingine extra tu. na pia. hatupo kukufurahisha humu , unaweza sepa , hata ukifa , we won't care.
Yanga ni timu ya wananchi waja leo waondoka keshoWell Gamondi and Yanga part away. it's over.
Yanga will have a new manager next season as tonight:
Gamondi refused a long term contract
Gamondi is still in contact with other big teams.
Gamondi has a contract but he is yet to sign.
these are Gamondi words a few minutes before yanga post.
Nimemsagia kunguni sana huyu jamaa 😂😂😂.
Akibaki sijui nitawaambia watu nini 😂
data sepa tu, humu hatukuitajiMidomo imeubwa kusema.wanasema wanachofikiria hata kama ni uongo lakini watauamini,wataueneza na watakuhukumu kwa uongo wao.
d
data sepa tu, humu hatukuitaji
Sio bahati ni mipango. Scouting yao ipo vizuriYanga wana bahati ya kupata makocha wazuri...
Nimemsagia kunguni sana huyu jamaa [emoji23][emoji23][emoji23].
Akibaki sijui nitawaambia watu nini [emoji23]
Well Gamondi and Yanga part away. it's over.
Yanga will have a new manager next season as tonight:
Gamondi refused a long term contract
Gamondi is still in contact with other big teams.
Gamondi has a contract but he is yet to sign.
these are Gamondi words a few minutes before yanga post.
Nimemsagia kunguni sana huyu jamaa 😂😂😂.
Akibaki sijui nitawaambia watu nini 😂
Sio bahati ni mipango. Scouting yao ipo vizuri