Gamondi atema cheche,adai kuna wachezaji wanakesha kitambaa cheupe na uongozi hauwachukulii hatua

Gamondi atema cheche,adai kuna wachezaji wanakesha kitambaa cheupe na uongozi hauwachukulii hatua

Kosa silioni mbona ulaya wakina Roomey, Dwight Yoke walikuwa wanakula bata,mpaka mida mibovu Halafu tokea lini ukawa na uchungu na Yanga........ kwani MVP wa mwaka jana Madrid ni nani? Msimu huu kiwango chake kipoje?
Wazungu wana nidhamu sana ujue
Ulaya hasa EPL bafahamu kuwa huwa hawakai kambini na ole wako uchelewe hata dakika tano mazoezini.
Pata picha huku kwetu wachezaji wangekuwa wanatokea nyumbani ingekuwa kituko
Wenzetu wanaheshimu kazi,ataenda club kulingana na ratiba ya mechi
 
Huyo DJ Ki ni Key , Kibwana au Kibabage? Fungua code hapo.
 
Huyo DJ Ki ni Key , Kibwana au Kibabage? Fungua code hapo.
 
Ni kweli kuhusu hilo hata mimi naungana naye.

Kina Azizi Ki wame transform midomo na pua kuwa exhaust yani vinatoa moshi kuliko hata gari yenye piston ring mbovu.
View attachment 3147659

Naskia mchizi tank 3 za shisha anazikata zote peke yake sijui zinawekwa kwa ujazo gani (hili watajua wazoefu)
Azizi anazingua
 
Back
Top Bottom