Gamondi: Sikubaliani mechi kupewa jina la mchezaji

Gamondi: Sikubaliani mechi kupewa jina la mchezaji

Unaona ulivyo kiazi sasa kuna tofauti gani kati ya kumfanya kibu kama mgeni rasmi na kuwa na siku inayoitwa azizi k day? Hao wasemaji wa yanga na simba wana utoto mwingi mno
Azizi Ki hakuwa mgeni rasmi kwenye mechi.

Azizi Ki alitumika kama buster ya kufanya Club i take over kwenye socia media kwa kuwaambia mashabiki wapost picha wakiwa wamevaa nusu uchi.

Maana yake hiyo ilikuwa inamuhusu hata baba yako endapo naye alikuwa ni mshabiki wa Yanga.

Utaona poa kumuona dingi kakunja bukata kama diaper ili kutekeleza kauli mbiu ya msemaji?

Sasa vipi kuhusu kuvaa misuli?

Na mwingine amesema kwenye hiyo misuli msivae kitu ndani yani muwe uchi. Kweli jambo hili unataka kulishabihiana na Kibu kuwa mgeni rasmi?
 
Kocha ameng'amua...media ya YÀNGA ni kichekesho,...mara mabango,, mara pilau, mara viapo vya upuuzi, ..mara etc
 
Azizi Ki hakuwa mgeni rasmi kwenye mechi.

Azizi Ki alitumika kama buster ya kufanya Club i take over kwenye socia media kwa kuwaambia mashabiki wapost picha wakiwa wamevaa nusu uchi.

Maana yake hiyo ilikuwa inamuhusu hata baba yako endapo naye alikuwa ni mshabiki wa Yanga.

Utaona poa kumuona dingi kakunja bukata kama diaper ili kutekeleza kauli mbiu ya msemaji?

Sasa vipi kuhusu kuvaa misuli?

Na mwingine amesema kwenye hiyo misuli msivae kitu ndani yani muwe uchi. Kweli jambo hili unataka kulishabihiana na Kibu kuwa mgeni rasmi?
Unaposema nusu uchi unamaanisha nini?
 
Hii timu walivyochanganyikiwa inawezekana hata kocha kaambiwa avae msuli kesho
 
Unaposema nusu uchi unamaanisha nini?
Namaanisha ni mtindo wa uvaaji ambao hauko proper kimaadili.

Wewe utakuwa tayari kumuona baba yako amevaa bukta kaikunja mapaja yote nje kama anavyofanya Azizi Ki?

Dada yako je?

Siwezi kukuuliza kuhusu wewe kwasababu nahakika kwa level ya ubongo wako kila kitu kwako ni simple.
 
Hii kitu waitoe inawapa pressure wachezaji nilisema since day one ndio yale yale ya mgeni rasimi mwisho wa siku akaishia kuumia
Waitoe press isiwepo kisa kuhofia watu watasema ukweli?

Ila na wewe unakuwaga wa ajabu sometimes
 
Unaona ulivyo kiazi sasa kuna tofauti gani kati ya kumfanya kibu kama mgeni rasmi na kuwa na siku inayoitwa azizi k day? Hao wasemaji wa yanga na simba wana utoto mwingi mno
Uliona mashabiki wa simba wakilazimishwa kwenda wamesokota rasta na misokoto ili kuendana na Kibu day??
 
Huu ni utamaduni wetu
Kocha anakuwepo na baadae anaondoka
Hatuwezi kuacha utamaduni wa club kisa coach
Team inafanya hamasa na biashara pia
Bacca day imeingiza million 40 si haba ndugu zangu
 
Hapo Simba watachukua hii comment kama ushindi kwao na kukaa kwa amaaaaaani mguu yuluuuu!
 
KIBU D, MGENI RASMI WA DERBY. Mnawahi sana kusahau
Yeah lakini kama unakumbuka hatukuvaa mawigi ya rasta ili kum-praise.

Siku ya Azizi Ki mlivaa vipedo mkabibania kwa juu kama diaper.

Siku ya Max mlichomekea (at least haikuwa ya aibu)

Siku ya Bacca mmevaa misuli kwa msisitizo wa hamasa mkaambiwa mvae misuli bila chochote ndani.

Nani anaweza kuja ja ujinga huu watu wakamsikiliza?

Simba tumetolewa kwa penalti na Wydad mkaitisha sherehe kwa ajili ya kumcheka mnyama.

This is insane
 
Ahmed Ally hajawahi kutuletea pigo za kiwaki anaelewa huku kwetu kuna watu wenye akili.

Hayo maswala ya kuvakishana misuli mara sijui Azizi Ki day watu wanaomesha mapaja. Ni mambo ambayo yanafanyika huko huko Gongowazi.

Huku watu tupo smart na ndio maana tukiamua mambo yetu hatuwezi kumsikiliza yeyote.
Hizi ndio pigo za Simba.
JamiiForums-912427097_480x360.jpg


Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Huu ni utamaduni wetu
Kocha anakuwepo na baadae anaondoka
Hatuwezi kuacha utamaduni wa club kisa coach
Team inafanya hamasa na biashara pia
Bacca day imeingiza million 40 si haba ndugu zangu
Na wasio kubaliana na utaratibu wa klabu, wanaruhusiwa kusepa, timu ziko nyingi si lazima YANGA tu, waende.
Wanadhani Kamwe anajiamuliana tu yeye mwenyewe?
 
"Sikubaliani kabisa na huu utaratibu wa kuita mchezo jina la mchezaji, kwa sababu mchezaji hayupo peke yake wapo timu.

Jambo muhimu kwangu ni timu sio mchezaji mmoja, ila naelewa ndio utaratibu wa timu kwa ajili ya kufanya marketing, kuwafanya mashabiki waje uwanjani na kuuelewa zaidi mchezo husika, najua huo ndio utaratibu wa klabu kuhamasisha ila sio utaratibu mzuri kwangu mimi binafsi." - Miguel Gamondi, Kocha Mkuu Yanga
BOSS HUU UZI BILA VIDEO NI CHAI... WEKA VIDEO MKUU TAFADHARI
 
Kama timu inaweza kutoa tiketi kwa vipofu ili waje kushuhudia mechi yao, unadhani kuna watu wanajitambua hapo
Kama ukifuatilia kwa makini utaona sehemu Kuna kipofu shabiki wa Yanga alikuwa anahudhuria kwenye mechi nyingi uwanjani kabla ya hhili tukio la kupewa tiketi.
 
Back
Top Bottom