Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Kwani mechi gani ilipewa jina la mchezaji gani ?
Mtoa Mada hajaikamilisha hii habari.
Mtoa Mada hajaikamilisha hii habari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii leo imepewa jina la Baçca.Kwani mechi gani ilipewa jina la mchezaji gani ?
Mtoa Mada hajaikamilisha hii habari.
Kiongozi, hivi haiwezakani ukaipenda simba bila kuichukia Yanga?Hatimaye Gamondi kakubaliana na usemi wangu kuwa yanga ni Club ya kizaramo
Yap haiwezekaniKiongozi, hivi haiwezakani ukaipenda simba bila kuichukia Yanga?
Bora hata kamati ya mandazi mnakula mnashiba kuliko hao wahuniUnaambiwa kamati kuu ilipitisha jambo hilo
Anzisha uzi basi mkuuBora hata kamati ya mandazi mnakula mnashiba kuliko hao wahuni
Tunataka Gamondi asikilizwe ili kuiokoa Uto yenye viongozi wenye akili nusu, nasisitiza kwa kupost zaidi ya mara 7 msikilizeni Gamondi ana hoja ya kiutu uzima.Hii habari ndio umriona leo au? Mbona humu zineanzishwa nyuzi 7 na yako ni ya 8 kuhusu hili. Je hii itasaidia kuwafunga wale Galaxy leo kule Botswana? Naona mnalazimisha furaha kwa nguvu. Mnajua kujifariji sana nyie.
Hii habari ndio umriona leo au? Mbona humu zineanzishwa nyuzi 7 na yako ni ya 8 kuhusu hili. Je hii itasaidia kuwafunga wale Galaxy leo kule Botswana? Naona mnalazimisha furaha kwa nguvu. Mnajua kujifariji sana nyie.
Asante kwa taarifa mjumbeHii leo imepewa jina la Baçca.
Kuna ile iliyopita ilipewa jina la Aziz K
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabango yamekukera mbumbumbuTunataka Gamondi asikilizwe ili kuiokoa Uto yenye viongozi wenye akili nusu, nasisitiza kwa kupost zaidi ya mara 7 msikilizeni Gamondi ana hoja ya kiutu uzima.
we kilaza unasema viziwi mlikuwa mnasikiliza mpira kwenye redio?Kwani wao si watu? Au mpira ni kuona tu?
Sijui umri wako ila miaka ya nyuma tulikuwa tunasikiliza mpira kwenye redio.
we kilaza unasema viziwi mlikuwa mnasikiliza mpira kwenye redio?
Unateseka ukiwa wapi?Kama timu inaweza kutoa tiketi kwa vipofu ili waje kushuhudia mechi yao, unadhani kuna watu wanajitambua hapo
Kuna timu mchezaji aliyeanza alikuwa mgeni rasmi. Sijui huko Wenye akili ni wangapi. Kiujumla mapacha wa Kariakoo wote mnafanana.My take:
Wenye akili sasa hivi ni watatu akiwemo huyu Gamondi
Nao ni watu, unadhani vipofu huwa hawaangalii TV.Kama timu inaweza kutoa tiketi kwa vipofu ili waje kushuhudia mechi yao, unadhani kuna watu wanajitambua hapo
Umefaidika nini kwa kuniita kilaza.we kilaza unasema viziwi mlikuwa mnasikiliza mpira kwenye redio?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama timu inaweza kutoa tiketi kwa vipofu ili waje kushuhudia mechi yao, unadhani kuna watu wanajitambua hapo