Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,555
- 4,118
Leo wachezaji wa Yanga hawakucheza kitimu kama mechi na mtani ya 5G, wakiendelea hivi na ubinafsi, makundi tu tutaumaliza mwendo,
Wao waliamua kutumia fursa kuonesha uwezo binafsi, kwa vile klabu bingwa inaoneshwa Dunia nzima, walikuwa anao anao tu mbwembwe kibao kulazimisha kupiga chenga za kijinga kijiji kizima , hawaangalii pembeni wala kutoa pasi.
Leo wamepoteza mipira mingi sana kila mmoja anataka sifa za kijinga za kufunga hasa Max, Pakome, Mzize na Aziz Ki walitaka tu kuonekana na Ahly kuwa wanajua mpira! Ili labda iwakumbuke kwenye ufalme wao.
Gamondi tafadhali weka chini wachezaji wako waambie Leo hawakutenda haki kwa mashabiki wa Yanga, waache ubinafsi wacheze kama timu!
Uzi tayari.
Wao waliamua kutumia fursa kuonesha uwezo binafsi, kwa vile klabu bingwa inaoneshwa Dunia nzima, walikuwa anao anao tu mbwembwe kibao kulazimisha kupiga chenga za kijinga kijiji kizima , hawaangalii pembeni wala kutoa pasi.
Leo wamepoteza mipira mingi sana kila mmoja anataka sifa za kijinga za kufunga hasa Max, Pakome, Mzize na Aziz Ki walitaka tu kuonekana na Ahly kuwa wanajua mpira! Ili labda iwakumbuke kwenye ufalme wao.
Gamondi tafadhali weka chini wachezaji wako waambie Leo hawakutenda haki kwa mashabiki wa Yanga, waache ubinafsi wacheze kama timu!
Uzi tayari.