Gardner achakazwa baada ya kumkuwadia mwanae

Gardner achakazwa baada ya kumkuwadia mwanae

Yuko real sana, sisi wabongo tunapenda unafiki na kujionyesha hatufanyi vile tunavyofanya.
Katika hiyo interview Gadner pia amezungumzia aina yake ya mahusiano na kasema wazi kuwa kutokana na experience yake haamini tena ktika mahusiano ya kudumu japo ana date na ana date na multiple ladies coz hataki kuendelea kuumia.....
Tatizo la Gadner ni kuongea hadharani. Ila mawazo yake hayana tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hata yeye alikuwa Mario. Kalelewa na Jaydee. Sasa haya ndio maelekoezo anampa binti yake wa pekee. Hopeless kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuwa na kipato chochote cha kumuwezesha kuishi unamaanisha hivyo?
Kuzidiwa kipato na mwanamke ndio kulelewa?
Acheni unafiki wabongo.
Sasa analelewa na nani baada ya kuachwa na huyo JD?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana Jr, Hisia hasi zimejaza mioyo ya waafrika.
Kamwe upendo hauwezi dhihirishwa na mwafrika kkwakuwa tendo la upendo kwa muafrika liko karibu sana na tendo la ndoa, tuko tofauti na watu weupe kwa tamaduni hivyo wakati mwingi yatupasa kuwa wanafiki kufurahisha hadhira ndugu na jamaa zetu.
Kuna wakati unawaza hivi lile andiko la " kumbatianeni na salimianeni kwa busu takatifu" kiafrika hasa Tanzania liko applicable kweli?
Watoto waliolelewa na baba kwa upendo mkubwa wa kuziba gap bila uwepo wa mama wameyapitia madhira ya uafrika ya hisia hasi kuwa kupetiwa na baba kuna maanisha baba kula tunda lake, japo wababa wa kiafrika wengi kwa tamaduni hasi ufahamu mfu hawalazi damu kwa vigoli mithili ya binti zao na kesi nyingine binti zao kwa sababu tofauti.

Let him wish anachotaka kwa bintie nasi kumuelewa tofauti ni mzigo wa hisia zetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwe ile picha wakiwa sebuleni na mwanae huku binti akiwa kamlia baba yake na Gardiner kashika remote naiomba
 
Huyu ana watetezi, Mheshimiwa Waziri profesa naye pia. Hii nchi ukiwa plugged in na yanayoendelea kuna hatari ya kuwa mjinga kwa kuathiriwa na mazingira.

Collective imbecilization they call it.
 
Malkia Caren nimemkojoza zaidi ya mwezi sasa.
 
Ni kweli,na je muda wote huo mshkaji/huyo mzee alipokua anatafuta hizo pesa alikua hana wanawake huko alipo sio?Au alikua anasubiri apate hizo pesa ndio aje akamuoe binti yenu sio?

Uzuri sisi wanaume sio mafala hua tunajua kabisa huyu kanipenda sababu niko njema,na siku njemba ikilewa inatoa shit tu, kwani we si umenipendea hela zangu tu.

Wengine waliopinda wao wanataka kufukua mitaro tu,binti akibisha anaambiwa kama umenipendea hela zangu utafanya nnachotaka kama hutaki njia nyeupee,binti inabidi awe mpole tu ukizingatia baba/mama mkwe/shemeji wote macho yako kwa mmewe.
Hakuna baba anayependa binti yake aolewe na mtu maskini akateseke, Hakuna nakwambia..Ni bas tu hakunaga namna

Sent using Jamii Forums mobile app

dodge
 
Back
Top Bottom