Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gadner anaserebuka na nini wakat range rover aliyokuwa akipigia misele kwa vimada vyake analo jide? jide kafa kaoza kwa jamaa ila sasa ivi naona kaamua ajipe likizo jamaa ni pasua kichwa sana, japokuwa alikuwa hana ubavu wa kumuacha jide
mwenzangu ndo maana kuna msemo husemao acheni mungu aitwe mungu, maana kama matatizo yangekuwa yanaenda kwa kina sie tu akina abdala marundu sijui ingekuwaje, maana apa tu tunayo ya kutosha, ila kwa kuwa sie sura zety ngumu kama t*ko la mpoto basi aaah matatizo yanaonekana kuwa ndio yetu ila wale wenye sura kama viatu vya four angle ndo hawatakiwi kuwa na matatizo, muache mungu aitwe mungu
Ruttashobolwa uko sahihi alipata ajali tarehe 6/7/2007 hadi leo ni kama miaka 7 sasa..,
Leo ndio siku yake ya kuzaliwa, anasherehekea akiwa kitandani, hiyo siku yenyewe anasema alikua kachoka na hajisikii kabisa ila marafiki wakamsisitiza akakubali.. akaruka mara ya kwanza fresh ile ya mara ya pili ndio ikawa tabu hadi leo hii
Hivi sasa hivi anaendesha gari ganii huyo gadna maana mhhhh Jide kiboko aisee ndio maana unampendaga warumi
anatia huruma, tatizo na yeye alizid bhana kuendekeza uchi, had wapishi na wacheza show pale nyumban lounge ye twende, khaa, ndo vile range yetu na nyumba yetu ya kule masaki ataishia kuviona kwenye dairy ya jide kila jumapil
Mi ushaona nashobokaga na wasanii wasiojielewa? tena usinikumbushe ile ishu ya nanii
mwenzangu ndo maana kuna msemo husemao acheni mungu aitwe mungu, maana kama matatizo yangekuwa yanaenda kwa kina sie tu akina abdala marundu sijui ingekuwaje, maana apa tu tunayo ya kutosha, ila kwa kuwa sie sura zety ngumu kama t*ko la mpoto basi aaah matatizo yanaonekana kuwa ndio yetu ila wale wenye sura kama viatu vya four angle ndo hawatakiwi kuwa na matatizo, muache mungu aitwe mungu
Mbona dem mwenyewe mzee afadhali hata Jidy, kweli hii dunia ngumu sana!
Hivi Matumbo unafaham stori ya Ahmed Albaity??
anatia huruma, tatizo na yeye alizid bhana kuendekeza uchi, had wapishi na wacheza show pale nyumban lounge ye twende, khaa, ndo vile range yetu na nyumba yetu ya kule masaki ataishia kuviona kwenye dairy ya jide kila jumapil
ila inasikitisha kwel story ya huyo jamaa
yani mie nikiona watu wanatafuta hela za matibabu wanakosa na wengine wanazitumia kwa anasa nachoka kabisa
Hivi Matumbo unafaham stori ya Ahmed Albaity??
kijana mmoja wa Tanga niliwahi kusoma stori yake kwenye page ya Mboni Masimba.. natamani kujua what happened to him,nikadhani waeza kua unamfaham
Nimevisit profile yake nimetaman hadi kulia.. haya maisha safari ndefu
Heaven on Earth
Daa kweli ina sikitisha!
Nasikia jamaa alikuwa anacheza sana michezo ya kuogelea siku moja wakati ana ruka akagonga kichwa na kudisturb uti wa mgongo! Kwa hiyo akapooza mwili mzima kasoro kichwa na Nina vyosikia ni mwaka wa saba yuko kitandani na Leo ni siku yake ya kuzaliwa!
Correct me if am wrong!
Duu ina sikitisha sana kweli Yatupasa kumshukuru Mungu kila saa!
anatia huruma, tatizo na yeye alizid bhana kuendekeza uchi, had wapishi na wacheza show pale nyumban lounge ye twende, khaa, ndo vile range yetu na nyumba yetu ya kule masaki ataishia kuviona kwenye dairy ya jide kila jumapil