Gardner G Habash Abambwa na Dogodogo

Gardner G Habash Abambwa na Dogodogo

Yeah walishaachana na mkewe wake yule alishaolewaaa

Ukute na yy haya ndo yalimshinda....
Akawa anamuangalia tu jide anavyong'ang'ania
Pole yake!
Ndo maana unatakiwa kabla hujaingia sehemu aliyotoka mwenzio ujue sbb kwanza halafu utubu ndio ww uingie....la sivyo sbb ileile ndo itakufanya na ww utoke hapo
..
 
Duu katika kipindi kigumu cha ndoa yao G hakutakiwa kuonekana anafanya hayo kwenye picha!

inaudhi zaidi unapofanya hadharani yaani ni madharau makubwa kwa mtu ambaye mmeishi wote muda mrefu.hata kama mmekwaruzana haina haja ya yeye kufanya hadharani kama mbwa koko anayetafuta majike mtaani.kajiabisha sana gadner.tena anaonekana sio mtu class kama nilivyomwona kwenye interview. ni kama mtu aliyekata tamaa.huyo binti ni kama mwanae tu.jide hana j
haja ya kudai talaka ni kachana kabisa na huyu koko.hana heshima hata kidogo.na mabinti hawa jamani kushikana na mbba wa watu wakati unajua ana ndoa yake na wazi hutaolewa nae ni kujitaftia tu balaa useme baadae siolewi kumbe ulikua unamtesa mwenzio. yaani mapenzi haya kweli undefined.wenye mahusiano mazuri kweli tumwombe mungu daily yaendelee vizur yakigeuka mbona ni mateso.pole kwa wote lakini kwani sisi hatujui chochote kati yao
 
inaudhi zaidi unapofanya hadharani yaani ni madharau makubwa kwa mtu ambaye mmeishi wote muda mrefu.hata kama mmekwaruzana haina haja ya yeye kufanya hadharani kama mbwa koko anayetafuta majike mtaani.kajiabisha sana gadner.tena anaonekana sio mtu class kama nilivyomwona kwenye interview. ni kama mtu aliyekata tamaa.huyo binti ni kama mwanae tu.jide hana j
haja ya kudai talaka ni kachana kabisa na huyu koko.hana heshima hata kidogo.na mabinti hawa jamani kushikana na mbba wa watu wakati unajua ana ndoa yake na wazi hutaolewa nae ni kujitaftia tu balaa useme baadae siolewi kumbe ulikua unamtesa mwenzio. yaani mapenzi haya kweli undefined.wenye mahusiano mazuri kweli tumwombe mungu daily yaendelee vizur yakigeuka mbona ni mateso.pole kwa wote lakini kwani sisi hatujui chochote kati yao

Mi nafikiri hii ni moja ya picha iliyo mshushia heshima Gardner!

Kwakweli sikutegemea hilo kutoka kwa Gadner kabisa mwanzo nilifikiri ni mmoja wa watu wanao jiheshimu sana! Isitoshe kwenye hii party na Jide alikuwepo!
 
inaudhi zaidi unapofanya hadharani yaani ni madharau makubwa kwa mtu ambaye mmeishi wote muda mrefu.hata kama mmekwaruzana haina haja ya yeye kufanya hadharani kama mbwa koko anayetafuta majike mtaani.kajiabisha sana gadner.tena anaonekana sio mtu class kama nilivyomwona kwenye interview. ni kama mtu aliyekata tamaa.huyo binti ni kama mwanae tu.jide hana j
haja ya kudai talaka ni kachana kabisa na huyu koko.hana heshima hata kidogo.na mabinti hawa jamani kushikana na mbba wa watu wakati unajua ana ndoa yake na wazi hutaolewa nae ni kujitaftia tu balaa useme baadae siolewi kumbe ulikua unamtesa mwenzio. yaani mapenzi haya kweli undefined.wenye mahusiano mazuri kweli tumwombe mungu daily yaendelee vizur yakigeuka mbona ni mateso.pole kwa wote lakini kwani sisi hatujui chochote kati yao

Duh mkuu umeongea maneno ya uchungu sana... kama G angekua member wa Jf ingebidi akusome kwa umakini...

Hata kama mtu unafanya basi fanya kwa siri hata mtu aone kuwa kuna heshima fulani sasa hivyo ni dharau.. na kuchoreshana tu
 
Ahmed Albaity ni mashaalah bonge la handsome ila ndo hivyo tena..... Daah ahata maneno ya kutosha kumuelezea sina eeh mola mkumbuke mja wako inatia uchungu sana dah
 
yaani hapo anaonekana ka beberu hata aibu hana jamani.kwanza huyu binti ni kamma mwanae ti.jammani kama jide alikua ndo alidhani anamkomoa mbona kajikomoa mwenyewesasa.hapa hata kama jide ni tatizo lakini kwa picha hizi yeye ndo anaonekanatatizo.tena tatizo kubwa ka ebola.na ukute afterpartu wakaenda kugegedana pyuuuu aibu yaani heshima yote unaitoa kwa siku moja.gdner kuwa naaibu hata kwa myoyo wakobasikamma umeshindwakumheshimu mti mlieshea kitanda.QUOTE=Ruttashobolwa;10847013]Mi nafikiri hii ni moja ya picha iliyo mshushia heshima Gardner!

Kwakweli sikutegemea hilo kutoka kwa Gadner kabisa mwanzo nilifikiri ni mmoja wa watu wanao jiheshimu sana! Isitoshe kwenye hii party na Jide alikuwepo![/QUOTE]
 
Duh mkuu umeongea maneno ya uchungu sana... kama G angekua member wa Jf ingebidi akusome kwa umakini...

Hata kama mtu unafanya basi fanya kwa siri hata mtu aone kuwa kuna heshima fulani sasa hivyo ni dharau.. na kuchoreshana tu

unadhani mtu wa hivi dhamira inamsuta basi,wala huyu ni kama chinjachinja.mtu hata aibu hana kweli basi hata angeenda sehemu nyingine ambayo jide hakuwepo sasa yeye hapohapo kwa mkewe. kamma wangetaka suluhisha kwa mtaji huu mi nisingekubali yaani hizi picha ndo ingekua go ahead nisingegeuka hata nyima.hata kama wameasio utu we mbaba.hat
 
unadhani mtu wa hivi dhamira inamsuta basi,wala huyu ni kama chinjachinja.mtu hata aibu hana kweli basi hata angeenda sehemu nyingine ambayo jide hakuwepo sasa yeye hapohapo kwa mkewe. kamma wangetaka suluhisha kwa mtaji huu mi nisingekubali yaani hizi picha ndo ingekua go ahead nisingegeuka hata nyima.hata kama wameasio utu we mbaba.hat
Nimekusoma mdau unaongea kwa uchungu mno,hata hivyo Jide alijichanganya sana kuolewa na hili gumegume basi tu wanasemaga mapenzi upofu
 
Nyie watu mnachekesha sana..

Limaza lizima mnadai ni dogodogo?

Tuwe serious na description
 
Kupenda miteremko ndo kumempoza G lakini Jide sio type ya G. Mshkaji Gentleman wa ukweli nashangaa sijui alikua anapelekana wapi na huo mkomao wa kike!!! Dah ama kwel mwanaume ukifulia unakubali kuuza hata utu wako. Jide type zake ni za wazee wenzie kama akina Mguu yule wa Msoma vijijini.
 
Kupenda miteremko ndo kumempoza G lakini Jide sio type ya G. Mshkaji Gentleman wa ukweli nashangaa sijui alikua anapelekana wapi na huo mkomao wa kike!!! Dah ama kwel mwanaume ukifulia unakubali kuuza hata utu wako. Jide type zake ni za wazee wenzie kama akina Mguu yule wa Msoma vijijini.

Mhhhhhhhh
 
Jide aliaanza kutembea na Gadner hata kabla hajaachana na mkewe Jide alikuwa mchepuko wa captain kwahiyo naye anaonja joto ya michepuko, ukiona mwanaume anamsaliti mkewe sababu yako ujue hata wewe atakusaliti tu.
 
Back
Top Bottom