Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Tabia inayo onekana kwenye picha ni moja ya sababu ya Jide kukimbia!
Haswaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabia inayo onekana kwenye picha ni moja ya sababu ya Jide kukimbia!
Yeah walishaachana na mkewe wake yule alishaolewaaa
Halafu G si alishaachana na.mkewe wa kwanza huyu?
Huyo Dogodogo mbona Maziwa yamekaa ki malapa malapa au ananyonyesha?
Duu katika kipindi kigumu cha ndoa yao G hakutakiwa kuonekana anafanya hayo kwenye picha!
inaudhi zaidi unapofanya hadharani yaani ni madharau makubwa kwa mtu ambaye mmeishi wote muda mrefu.hata kama mmekwaruzana haina haja ya yeye kufanya hadharani kama mbwa koko anayetafuta majike mtaani.kajiabisha sana gadner.tena anaonekana sio mtu class kama nilivyomwona kwenye interview. ni kama mtu aliyekata tamaa.huyo binti ni kama mwanae tu.jide hana j
haja ya kudai talaka ni kachana kabisa na huyu koko.hana heshima hata kidogo.na mabinti hawa jamani kushikana na mbba wa watu wakati unajua ana ndoa yake na wazi hutaolewa nae ni kujitaftia tu balaa useme baadae siolewi kumbe ulikua unamtesa mwenzio. yaani mapenzi haya kweli undefined.wenye mahusiano mazuri kweli tumwombe mungu daily yaendelee vizur yakigeuka mbona ni mateso.pole kwa wote lakini kwani sisi hatujui chochote kati yao
inaudhi zaidi unapofanya hadharani yaani ni madharau makubwa kwa mtu ambaye mmeishi wote muda mrefu.hata kama mmekwaruzana haina haja ya yeye kufanya hadharani kama mbwa koko anayetafuta majike mtaani.kajiabisha sana gadner.tena anaonekana sio mtu class kama nilivyomwona kwenye interview. ni kama mtu aliyekata tamaa.huyo binti ni kama mwanae tu.jide hana j
haja ya kudai talaka ni kachana kabisa na huyu koko.hana heshima hata kidogo.na mabinti hawa jamani kushikana na mbba wa watu wakati unajua ana ndoa yake na wazi hutaolewa nae ni kujitaftia tu balaa useme baadae siolewi kumbe ulikua unamtesa mwenzio. yaani mapenzi haya kweli undefined.wenye mahusiano mazuri kweli tumwombe mungu daily yaendelee vizur yakigeuka mbona ni mateso.pole kwa wote lakini kwani sisi hatujui chochote kati yao
Duh mkuu umeongea maneno ya uchungu sana... kama G angekua member wa Jf ingebidi akusome kwa umakini...
Hata kama mtu unafanya basi fanya kwa siri hata mtu aone kuwa kuna heshima fulani sasa hivyo ni dharau.. na kuchoreshana tu
Nimekusoma mdau unaongea kwa uchungu mno,hata hivyo Jide alijichanganya sana kuolewa na hili gumegume basi tu wanasemaga mapenzi upofuunadhani mtu wa hivi dhamira inamsuta basi,wala huyu ni kama chinjachinja.mtu hata aibu hana kweli basi hata angeenda sehemu nyingine ambayo jide hakuwepo sasa yeye hapohapo kwa mkewe. kamma wangetaka suluhisha kwa mtaji huu mi nisingekubali yaani hizi picha ndo ingekua go ahead nisingegeuka hata nyima.hata kama wameasio utu we mbaba.hat
Nyie watu mnachekesha sana..
Limaza lizima mnadai ni dogodogo?
Tuwe serious na description
Kupenda miteremko ndo kumempoza G lakini Jide sio type ya G. Mshkaji Gentleman wa ukweli nashangaa sijui alikua anapelekana wapi na huo mkomao wa kike!!! Dah ama kwel mwanaume ukifulia unakubali kuuza hata utu wako. Jide type zake ni za wazee wenzie kama akina Mguu yule wa Msoma vijijini.
Bado hali yake iko vile vile anatia huruma kwelo yule kijana, kweli ujafa ujaumbika, alafu kijana ni Bonge La Handsome, yule ni the Real Definition ya Super Handsome sio kina ommy Dimpoz mpaka warembue machoView attachment 192265
Baadhi ya picha hizo