Walevi mnapenda kujifariji 🤣🤣🤣Stress zilimfanya akabugia pombe zikamzidi ata ukibugia mayai yakikuzidi ukafa,hatuwezi sema mayai ni mabaya tusiyale🤗
1. Alimuishi Kristo?Kufa ni kristo, kuishi ni faida..
Jide sasa Mjane rasmi
Kunywa kistaarabu ni muhimuHaijalishi unaishi lifestyle gani, mwisho wetu ni kifo tu.
Hii kauli huwa ina maana gani?Mbele yetu nyuma yake.
Tutaweka ila leo tumeanza na la mleviEm tuwekee la mwenye hepatitis mpenda papuchi bila kusahau weka na utumbo wa mla chipsi na masoda
Mkuu mimi ninaekunywa konyagi ndogo kwa siku nazidisha au kawaida? Msosi nakula vizuri tuu.Kunywa pombe
Kula vizuri
Fanya mazoezi
Kunywa maji mengi
Ila tu tusizidishe sanaaaa
Ova
Wasikutishe kula nyagi zingatia msosi mzuri na maji!! Kila kitu kina madhara ukizidishaMkuu mimi ninaekunywa konyagi ndogo kwa siku nazidisha au kawaida? Msosi nakula vizuri tuu.
Addiction ya pombe ni mbaya najua haya maneno huyapendi lakini yatamsaidia mwingine atakayeyasoma.😁😁😁 mkuu kama wewe ilikudhuru na hata ikanidhuru mimi sababu sio pombe sababu ni ulafi . Hata ukiwa mlafi wa maugali mwisho wa siku unapata kisukari na pressure je ugali ni mbaya watu wasile?
Ndio kwenyewe hukuUnaleta mitongozo kwenye msiba?
Kwamba kifo kipo mbele yetu kwa sisi ambao bado tupo hai lakini kwa Marehemu kifo tayari kimeshakuwa nyuma yake maana keshafariki na kupita hiyo hatuaHii kauli huwa ina maana gani?
Sisi sio walevi sisi ni wanywa pombe , je wajua ? Pombe ni kinywaji cha kale zaidi ukitoa maji na maziwa ? Alafu eti leo hii nyie kizazi cha 2000 mje mseme pombe ni mbaya🤣🤣🤣Walevi mnapenda kujifariji 🤣🤣🤣
Haya endeleeni kumoka ila maini, na figo lazima visumbue
Mkuu wala usijali siwezi chukia kipumbavu na sipo hivyo ,hakuna addiction yoyote nzuri , aina ya maisha tunayoishi yakufuga matumbo bila kufanya mazoezi ndio inachangia wanywa pombe wengi kufa kizembe , piga mazoezi kula vizuri kunywa pombe kwa afya Acha uzinzi lala kwa wakati ndio mfumo wangu wa maisha .Addiction ya pombe ni mbaya najua haya maneno huyapendi lakini yatamsaidia mwingine atakayeyasoma.
Unywe kilevi halafu ujiite mnywaji?? Ww ni mlevi.!! Niko msibani usinisumbue 🤣🤣🤣Sisi sio walevi sisi ni wanywa pombe , je wajua ? Pombe ni kinywaji cha kale zaidi ukitoa maji na maziwa ? Alafu eti leo hii nyie kizazi cha 2000 mje mseme pombe ni mbaya🤣🤣🤣
Tatzo vijana wasiku hizi hawana nguvu za kumudu pombe una kuta kijana ana mademu 20 ,mara anyetuke mara ale chips mara anywe hizi takataka zinaitwa juice za viwandani na energy mara vyoda akinywa pombe lazima afe tu.
Kafa kanumba ,kafa Samuel sedekia,kafa sajuki, kafa Sharon milionea , kafa Sam wa ukweli ila hizi kelele za pombe hatukuzisikia leo kafa mwamba mwenetu kabisa pombe inasagiwa kunguni .Wasikutishe kula nyagi zingatia msosi mzuri na maji!! Kila kitu kina madhara ukizidisha
Kufa kupo palepale
Hahahaha nakunywa bia apa , corona extra baridi ,karibu sna.Unywe kilevi halafu ujiite mnywaji?? Ww ni mlevi.!! Niko msibani usinisumbue 🤣🤣🤣
Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein
Wasafi Media
View attachment 2968923
Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
Marafiki waliotangulia, wanazidi kuitana...Wanabodi,
Jee Roho za Waliokufa Zinaweza Kuwaita Walio Hai?.
Jibu ni yes, ndio maana kwa baadhi ya mila, wamama wajawazito hawaruhusiwi kwenda makaburini, ili waliolala wasije wakaviita vichanga, na matokeo yake vikaitika na kupata still born.
Kwenye mahusiano kuna kitu kinaitwa Soul Mates, na hii ndio subject matter ya uzi wangu huu.
Hitimisho.
Kwa vile kwa sisi binadamu wote hapa duniani tuko safari tuu, kuelekea kwenye makao ya milele na maisha ya milele, tusiwalilie waliotangulia na kuhuzunika saana kwa kuwakosa, tuhuzunike kibinaadamu, kwa kulia kwa kiasi tuu, kisha maisha ni lazima yaendelee, bali pia tujiangalie sisi wenyewe, kwa nafsi zetu, jee tumejiandaa kuitika wito wakati siku yetu na saa yetu ikitakapofika?.
Kesheni mkiomba kwa maana hamjui siku wala saa.
RIP Ephraim Kibonde na Ruge Mutahaba na wengine wote waliotangulia, nyinyi mbele sisi tuko nyuma yenu, sote sisi ni wa Kwake na Kwake tutarejea.
Paskali
Kama urusi miaka ya hivi karibuni ndio wameitambua bia kama ni kilevi ila miaka yote bia ilikua ni kinywaji baridi.Hakuna nchi watu wanakunywa pombe kama ulaya na America ,haswa Russia , angalia jinsi wanavyoweza kuzimudu na mazoezi makali na misosi ya kiafya , UGALI Ni hatari kwenye afya kuliko pombe mara kumi.
Kusemasema ukweli hivi kutakuponzaKwa Jide kumuimba alikuwa anamsaidia ila bahati mbaya hakumuelewa. Gadna alikuwa ni sikio la kufa na limekufa kweli.
RIP Gadna
😁😁😁😁😁,Nchi za wenzetu pombe ni kinywaji cha kawaida kabisa .Kama urusi miaka ya hivi karibuni ndio wameitambua bia kama ni kilevi ila miaka yote bia ilikua ni kinywaji baridi.