TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

😁😁😁 mkuu kama wewe ilikudhuru na hata ikanidhuru mimi sababu sio pombe sababu ni ulafi . Hata ukiwa mlafi wa maugali mwisho wa siku unapata kisukari na pressure je ugali ni mbaya watu wasile?
Addiction ya pombe ni mbaya najua haya maneno huyapendi lakini yatamsaidia mwingine atakayeyasoma.
 
Walevi mnapenda kujifariji 🤣🤣🤣
Haya endeleeni kumoka ila maini, na figo lazima visumbue
Sisi sio walevi sisi ni wanywa pombe , je wajua ? Pombe ni kinywaji cha kale zaidi ukitoa maji na maziwa ? Alafu eti leo hii nyie kizazi cha 2000 mje mseme pombe ni mbaya🤣🤣🤣

Tatzo vijana wasiku hizi hawana nguvu za kumudu pombe una kuta kijana ana mademu 20 ,mara anyetuke mara ale chips mara anywe hizi takataka zinaitwa juice za viwandani na energy mara vyoda akinywa pombe lazima afe tu.
 
Addiction ya pombe ni mbaya najua haya maneno huyapendi lakini yatamsaidia mwingine atakayeyasoma.
Mkuu wala usijali siwezi chukia kipumbavu na sipo hivyo ,hakuna addiction yoyote nzuri , aina ya maisha tunayoishi yakufuga matumbo bila kufanya mazoezi ndio inachangia wanywa pombe wengi kufa kizembe , piga mazoezi kula vizuri kunywa pombe kwa afya Acha uzinzi lala kwa wakati ndio mfumo wangu wa maisha .
 
Sisi sio walevi sisi ni wanywa pombe , je wajua ? Pombe ni kinywaji cha kale zaidi ukitoa maji na maziwa ? Alafu eti leo hii nyie kizazi cha 2000 mje mseme pombe ni mbaya🤣🤣🤣

Tatzo vijana wasiku hizi hawana nguvu za kumudu pombe una kuta kijana ana mademu 20 ,mara anyetuke mara ale chips mara anywe hizi takataka zinaitwa juice za viwandani na energy mara vyoda akinywa pombe lazima afe tu.
Unywe kilevi halafu ujiite mnywaji?? Ww ni mlevi.!! Niko msibani usinisumbue 🤣🤣🤣
 
Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.

Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).

Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein

Wasafi Media

View attachment 2968923

Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu


Niliwahi kuandika Life After Life: Je, Wafu huwaita watu kifoni? Kuna walio hai huamua kuwafuata Wafu? Wapenzi mmoja akitangulia, mwenzake anafuata!
Wanabodi,

Jee Roho za Waliokufa Zinaweza Kuwaita Walio Hai?.
Jibu ni yes, ndio maana kwa baadhi ya mila, wamama wajawazito hawaruhusiwi kwenda makaburini, ili waliolala wasije wakaviita vichanga, na matokeo yake vikaitika na kupata still born.
Kwenye mahusiano kuna kitu kinaitwa Soul Mates, na hii ndio subject matter ya uzi wangu huu.

Hitimisho.
Kwa vile kwa sisi binadamu wote hapa duniani tuko safari tuu, kuelekea kwenye makao ya milele na maisha ya milele, tusiwalilie waliotangulia na kuhuzunika saana kwa kuwakosa, tuhuzunike kibinaadamu, kwa kulia kwa kiasi tuu, kisha maisha ni lazima yaendelee, bali pia tujiangalie sisi wenyewe, kwa nafsi zetu, jee tumejiandaa kuitika wito wakati siku yetu na saa yetu ikitakapofika?.

Kesheni mkiomba kwa maana hamjui siku wala saa.
RIP Ephraim Kibonde na Ruge Mutahaba na wengine wote waliotangulia, nyinyi mbele sisi tuko nyuma yenu, sote sisi ni wa Kwake na Kwake tutarejea.
Paskali
Marafiki waliotangulia, wanazidi kuitana...

View: https://youtube.com/shorts/KMVmvFPjui4?si=G28gCVGn1VUc-Jbr
nyinyi mbele sisi tuko nyuma yenu, sote sisi ni wa Kwake na Kwake tutarejea.
Rip Gardner G Habash, Kapitain
Paskali
 
Hakuna nchi watu wanakunywa pombe kama ulaya na America ,haswa Russia , angalia jinsi wanavyoweza kuzimudu na mazoezi makali na misosi ya kiafya , UGALI Ni hatari kwenye afya kuliko pombe mara kumi.
Kama urusi miaka ya hivi karibuni ndio wameitambua bia kama ni kilevi ila miaka yote bia ilikua ni kinywaji baridi.
 
Back
Top Bottom