Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Wanywa soda wanaongea kama wanaishi milele yote.Daah! Wanywa pombe wanajua kujitetea.
R.I.P Gadner
Nisiri ila kanamaliza Taifa silence π€Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.
Gadner maarufu kama βCaptainβ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).
Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein
Wasafi Media
View attachment 2968923
Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
Mkuu Acha hizo kula pombe chapa kazi wanywa vyoda hawana hata Mia mbovu.Inaonekana jamaa alikuwa hawezi kwenda on-air akiwa studio bila ya kupiga vyombo kwanza yeye na mwenzake George Bantu. Radio kama Broadcast Media unasikia sauti tu, huwezi kumwona mtangazaji. Hicho ndiyo kichaka wanachojificha watangazaji walevi wa redioni.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah wabongo bhanaaPale nyumbani lounge kazibua Sana mitaro ya wahudumu
SurelyMkuu! Wanatumia ila hazina vilevi vya maabara ambao ni full chemical , wachaga wanakunywa pombe zao za asili na wanaishi mpaka miaka 110 na kuendele tena wengi.
Ila hizi za kuletwa na wazungu ni hatari sana...Ukitumia miaka 20 mfululizo jiandae ..
Tuanzishe uzi wa umri, kukumbushana ya miaka ya nyuma. Utakuta ID zingine ziko blank kwa miaka mingi.Themanini mingi hivyo?
Sema 55/60 ni kusema ule umri wa kustaafu ukifika wengi tutakuwa hoi ile kusogeza tu mguu kuitafuta hatua ya pili tutakuwa hatuwezi.
ππUpwiru hauna chama, wala cheo, wala elimu.
πππ
Kuna watu wanaokufa kama hawa wa boda,tena wanakufa huku figo na maini zao zikiwa nzimaaTuanzishe uzi wa umri, kukumbushana ya miaka ya nyuma. Utakuta ID zingine ziko blank kwa miaka mingi.
Nadhani miaka 30 ijayo tu wengi wetu hatutokuwepo humu.
Sharing is caringPoleni wote mlioguswa na Msiba huu
Kuna mdau humu alitabiri kuhusu hili mara baada ya Kifo cha Ruge, then Efrahim Kibonde wakasema anayefuata atakuwa Gardner G. Habashi
Angekuwa Mkuu GENTAMYCINE angesema kuhusu wale wadudu wa Uganda
Pumzika Kwa amani Le Captain [emoji24]
Bado haujasemaWe Mlevi kwa akili yako yote umeona kusema hivo ni tusi saaaaaaana
Urusi mpaka 2010 kinywaji kilichokuwa na kilevi chini ya 5%vv haikuhesabiwa ni pombe.Kama urusi miaka ya hivi karibuni ndio wameitambua bia kama ni kilevi ila miaka yote bia ilikua ni kinywaji baridi.
Punga babakoBado haujasema
Mpaka useme
Kamwe hatuwezi kuwaacha mapunga mnabwabwaja tu
πππ.bora umemchana ukweliAcha ujinga
Siku hizi kuna hizi liqour shops zimegeuka bar, unakuta vijana humo wanakunywa pombe kali kwa kushindana, bado kuna bodaboda wananunua pombe kali kwa kina Mangi mitaani.Tulishawaambia waache pombe wanajifanya wazee wa Mjini,wameshakata tamaa hao wote
Na watanyooka wasipobadilika