Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Inaonekana jamaa alikuwa hawezi kwenda on-air akiwa studio bila ya kupiga vyombo kwanza yeye na mwenzake George Bantu. Radio kama Broadcast Media unasikia sauti tu, huwezi kumwona mtangazaji. Hicho ndiyo kichaka wanachojificha watangazaji walevi wa redioni.