TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

Inaonekana jamaa alikuwa hawezi kwenda on-air akiwa studio bila ya kupiga vyombo kwanza yeye na mwenzake George Bantu. Radio kama Broadcast Media unasikia sauti tu, huwezi kumwona mtangazaji. Hicho ndiyo kichaka wanachojificha watangazaji walevi wa redioni.
 
Mtangazaji Mahiri wa Clouds FM, Gadner G. Habash (50) amefariki Dunia Leo April 20, 2024.

Gadner maarufu kama ‘Captain’ aliejizolea Umaarufu Mkubwa kupitia Kipindi cha Jahazi, alikua amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Jijini Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na Pressure (Shinikizo la Damu).

Wasafi Media Tunatoa Pole kwa Familia , Clouds Media Group , Ndugu Jamaa na Marafiki . Mungu ailaze Roho yake Mahali Pema Peponi Amein

Wasafi Media

View attachment 2968923

Pia soma
- Mtangazaji Captain G. Habash alazwa JKCI kwa tatizo la Shinikizo la Damu
Nisiri ila kanamaliza Taifa silence 🤐
 
Inaonekana jamaa alikuwa hawezi kwenda on-air akiwa studio bila ya kupiga vyombo kwanza yeye na mwenzake George Bantu. Radio kama Broadcast Media unasikia sauti tu, huwezi kumwona mtangazaji. Hicho ndiyo kichaka wanachojificha watangazaji walevi wa redioni.
Mkuu Acha hizo kula pombe chapa kazi wanywa vyoda hawana hata Mia mbovu.
 
Themanini mingi hivyo?

Sema 55/60 ni kusema ule umri wa kustaafu ukifika wengi tutakuwa hoi ile kusogeza tu mguu kuitafuta hatua ya pili tutakuwa hatuwezi.
Tuanzishe uzi wa umri, kukumbushana ya miaka ya nyuma. Utakuta ID zingine ziko blank kwa miaka mingi.
Nadhani miaka 30 ijayo tu wengi wetu hatutokuwepo humu.
 
Tulishawaambia waache pombe wanajifanya wazee wa Mjini,wameshakata tamaa hao wote

Na watanyooka wasipobadilika
Siku hizi kuna hizi liqour shops zimegeuka bar, unakuta vijana humo wanakunywa pombe kali kwa kushindana, bado kuna bodaboda wananunua pombe kali kwa kina Mangi mitaani.

Baada ya miaka mitano ijayo tutakuwa na taifa moja la hovyo sana. Bahati mbaya Samia hafanyi kitu kupambana na hii hali sawa na alivyokuwa JK miaka ile.
 
Back
Top Bottom