TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

Humu Msijali kuhusu kufa kwa Figo..
Wengi kwa sababu ni majuha, mtakufa vifo vya aibu na kimaskini kama
Kipigo cha kufumaniwa, kula chakula chenye sumu msibani, Pressure ya Vikoba, kuzidisha Viagra, Magonjwa ya Zinaa na punyeto....

Ukifa kwa pombe labda ulewe ulanzi ulale nje fisi waje wakubebe....

Haina haja ya kufura, Badilika
Pressure ya vikoba hii itaondoka na wengi sio utani.
 
Unaposema ulevi unalenga mambo mengi sana sio pombe pekee, apo tatzo sio pombe tatzo ni ulevi ata ukiwa mlevi wa simu , mlevi wa wanawake/wanaume, mlevi wa soda , mlevi wa injili( makenzie kenya) vyote huleta shida , apo tatizo sio kunywa pombe tatzo ni tabia zako za tamaa ya pombe kupitiliza uwezo wako.
Ulevi unaanza na hulka ya kunywa kila siku bia moja halafu unaanza kuongeza.

Ulevi ni addiction {uraibu}. Siku zote uraibu una sifa mbili.

Kwanza unakufilisi, pili unakuua. Jiwekee mipaka ya unywaji pombe vinginevyo itakuangamiza.

Jizoeze kuitawala pombe imeangusha wengi sana.
 
Ulevi inaanza na bia moja tu. Ulevi ni addiction {uraibu}. Siku zote uraibu una sifa mbili.

Kwanza inakufilisi, pili inakuua. Jiwekee mipaka ya unywaji pombe vinginevyo itakuangamiza. Jizoeze kuitawala pombe imeangusha wengi sana.
Mkuu pombe haiwezi nifilisi hicho ni cha kwanza, pia naweza kuitawala pombe ambayo akinywa mtu mwingne anaweza kufa apo apo.

Babu ,bibi mama baba na ndugu zangu wote tunapenda pombe 🙏
 
Tukumbushane tu wale wazee wa gambe kali

Hili ni ini la mwanadamu

20240405_174138.jpg



Hili ni ini la mnywa pombe kali/mlevi
20240405_174140.jpg
 
Mkuu pombe haiwezi nifilisi hicho ni cha kwanza, pia naweza kuitawala pombe ambayo akinywa mtu mwingne anaweza kufa apo apo.

Babu ,bibi mama baba na ndugu zangu wote tunapenda pombe 🙏
Ubishi wako umeficha anguko lako. Walikufa kwa pombe mawaziri wenye vyeo na heshima zao, mifano ni mingi mno.
 
Ubishi wako umeficha anguko lako. Walikufa kwa pombe mawaziri wenye vyeo na heshima zao, mifano ni mingi mno.
😁😁😁 mkuu kama wewe ilikudhuru na hata ikanidhuru mimi sababu sio pombe sababu ni ulafi . Hata ukiwa mlafi wa maugali mwisho wa siku unapata kisukari na pressure je ugali ni mbaya watu wasile?
 
Back
Top Bottom