TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

Humu Msijali kuhusu kufa kwa Figo..
Wengi kwa sababu ni majuha, mtakufa vifo vya aibu na kimaskini kama
Kipigo cha kufumaniwa, kula chakula chenye sumu msibani, Pressure ya Vikoba, kuzidisha Viagra, Magonjwa ya Zinaa na punyeto, kuzama coco Beach

Ukifa kwa pombe labda ulewe ulanzi ulale nje fisi waje wakubebe....

Haina haja ya kufura, Badilika
Kula chakula chenye sumu msibani nalo ni jambo la aibu na kimasikin?
Rubani mkuu na Rubani msaidizi kwenye ndege hawaruhusiwi kula chakula cha aina moja, sababu ni kuwa ikitokea food poisoning basi wasidhurike wote!! Ni maskini wale?
Food poisoning inaweza kutokea kwa bahati mbaya au kwa makusudi, ndo maana nasema maisha ni bahati.
Alslay anauza mihogo coco Beach. Hiyo hiyo mihogo imeshawahi kuuwa watu huko manerumango, kinachoua ni sumu ya cyanide ambayo wingi wake kwenye mihogo hutegemea ardhi na altitude ilipopandwa mihogo hiyo.
Huwezi kwenda sokoni ukaanza kuuliza mihogo hii imetoka wapi, you just risk it all na ndo cycle ya maisha ivivyo. Bahati bahati no formula
 
Back
Top Bottom