machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Kuna jomba alitembelea kaskazini kwa mara ya kwanza akauliza eti mbona mnakunywa pombe asubuhi?Moshi kuna magari ya bia sio watu😅😅
Ilibidi watu wamshangae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jomba alitembelea kaskazini kwa mara ya kwanza akauliza eti mbona mnakunywa pombe asubuhi?Moshi kuna magari ya bia sio watu😅😅
Sio Yahya kuna wimbo mwingine kabisa kamuimba live..
Kula chakula chenye sumu msibani nalo ni jambo la aibu na kimasikin?Humu Msijali kuhusu kufa kwa Figo..
Wengi kwa sababu ni majuha, mtakufa vifo vya aibu na kimaskini kama
Kipigo cha kufumaniwa, kula chakula chenye sumu msibani, Pressure ya Vikoba, kuzidisha Viagra, Magonjwa ya Zinaa na punyeto, kuzama coco Beach
Ukifa kwa pombe labda ulewe ulanzi ulale nje fisi waje wakubebe....
Haina haja ya kufura, Badilika
Huko ndio home mkuu napajua vizuri sema sasa ivi kuna wimbi la pombe chafu nyingi vijana wanapotea huko.Kuna jomba alitembelea kaskazini kwa mara ya kwanza akauliza eti mbona mnakunywa pombe asubuhi?
Ilibidi watu wamshangae
Walevi kina nan mkuu 😅Walevi wamevia Uzi Kwa kasi kubwa
Watu watu wanajichagulia mechi za kushinda.Em tuwekee la mwenye hepatitis mpenda papuchi bila kusahau weka na utumbo wa mla chipsi na masoda
Sure mkuu.Angalia huko barabarani unakokimbia usijegongwa na gari,na pia uwe makini vyakula unavyokula maana vyakula vingi vya Sasa ni genetic modification visikupe Kansa mkuu
Huenda kaenda kuwa kiongozi huko, I mean amekua promotedMzee wa kukojoza ameondoka mapema sana
DAah hii duniaHuenda kaenda kuwa kiongozi huko, I mean amekua promoted
Mtumishi upo?? Dunia mapitoDAah hii dunia
Napumua babaMtumishi upo?? Dunia mapito
Nashukuru Mungu kwa ajili ya hiloNapumua baba
Amina, karibu kwa wanywa Ulanzi😂Nashukuru Mungu kwa ajili ya hilo
ulipona...?Nilipata stroke mwaka 2021 kwa sababu ya huo ulevi wa kupitiliza, nilala muhimbili siku tatu na kuanzia hapo ni mwendo wa maji tu na kina Tonic Water, ukiwa bado kijana endelea tu kubugia kilaji, nakutahadharisha tu tukiwa wote ni wanachama wa JF.
Hahahahaahhaha nitakuja KakaAmina, karibu kwa wanywa Ulanzi😂
Aisee kuna uzuri wa ajabu hebu fanya hima mkuuHahahahaahhaha nitakuja Kaka