Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
🤣🤣 noma sana ila mzee hata hapa tz kuna watu wanakula pombe jana kuna mitaa nilikua naunguza maini kidogo, oya kuna mwamba alikula konyagi kubwa na kisichana akiwa alone.Umenikumbusha pande za Moshi Kuna mwamba mmoja alikua anaitwa fipe hili jina tulimuita fipe kwasababu alikua akitukuta bar anasema fipe filewe fikalale alafu mwamba anaosha Benz lake na kreti ya bia🤣