Gardner G Habash: Najuta kuachana na mke wangu wa kwanza

gadner nae mbea, wakat anaendesha murano ya jide na range rover alikua hajutii? leo katoswa ndo anajifanya nyoko nyoko, atajibeba mwaka huu, ndio maana matapishi ya clouds
Watu kama ninyi mpo tayari kuona hata mtu anakulala jalalani au kulala sakafuni kisa tu alikosea, na ndio yafaa kua malipizi yake. Yeye mwenyewe ameishakiri kosa na kujutia yote aliyoyafanya huko nyuma, sasa ya nini kuonekana una Roho ya "korosho" na mwepesi wa malipizi. Laiti kama binadamu wote wangekua na Roho kama yako asingebakia binadamu yeyote katika ulimwengu huu.
 
Shangaa huyo mwanaume wa Rukwa huko hajui hata hili jukwaa ni la celebrities. ....halafu anamsema bi Warumi.
Au anataka kuhamia Dar nini
anatamani kuja dar sema nauli hana huyo
 
Bora Gadner hajazungumzia ya mtalaka wake maana angekua Sadifa hapo angemwagika kama urojo
ahahaha ila sadifa noma, yule ata akikununulia chupi anatangaza instagram
 

Daah!

TANGA, Kunani paler eh, Mbona Captain anasikitikaa?!

TANGA, Kunani palee eh, Mbona Jide ana ndi ndi ndi...!

Wakuu, Usiombe shetani ajue password yako, Utajuuuuta!!
 
Halafu ni wazi G amekuwa mlevi sana!


Kwa hisani ya wanaume wa kanda ya ziwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…