Gardner G Habash: Najuta kuachana na mke wangu wa kwanza

Gardner G Habash: Najuta kuachana na mke wangu wa kwanza

Jamaa ameuchezea ujana wake,wakati yuko mbichi anawaka, wanawake walikuwa wanamhusudu,kuanzia kule Mwanza na yule mke ya muzungu mpaka akaja huko Dar,akawa yeye ni mtu wa Ganda la ndizi,alikuwa hajui uzuri una mwisho,pia kuna kuzeeka,sasa wanawake wote wanataka ving'asti wenye damu moto wavifuge,sio mizee iliyopoa kama bia ya tusker.
 
Hakuna kitu kibaya katika maisha (hasa ya kimapenzi/ndoa) kama majuto.
Jambo likishatokea (kuachana) kubali na uangalie namna nyingine.
Kulikubali tatizo na kuangalia namna ya kulitatua huishia katika furaha.
Majuto huvunja moyo.
Maisha ni mafupi sana kwa majuto.
 
Jamaa ameuchezea ujana wake,wakati yuko mbichi anawaka, wanawake walikuwa wanamhusudu,kuanzia kule Mwanza na yule mke ya muzungu mpaka akaja huko Dar,akawa yeye ni mtu wa Ganda la ndizi,alikuwa hajui uzuri una mwisho,pia kuna kuzeeka,sasa wanawake wote wanataka ving'asti wenye damu moto wavifuge,sio mizee iliyopoa kama bia ya tusker.
Hahahahaaa
Mkuu,hii japo chungu lakini dawa.
 
Mmmh hili ni somo kuna umuhimu mkubwa kumuangalia huyu mke niliye naye nisije juta kama gardner
kama ukipata mke mwenye murano unamuacha tu, ukitoswa unatubu kama kaka gadner
 
Haya maswali angeulizwa sadifa angetiririka kama taarab za nasma kidogo
ahahaha jamani muacheni sadifa wa watu, yeye hajui kukaa na kitu rohoni kama warumi, ukianza tu anaropoka yotee, khaa kweli wastara alipata mume
 
Hakuna kitu kibaya katika maisha (hasa ya kimapenzi/ndoa) kama majuto.
Jambo likishatokea (kuachana) kubali na uangalie namna nyingine.
Kulikubali tatizo na kuangalia namna ya kulitatua huishia katika furaha.
Majuto huvunja moyo.
Maisha ni mafupi sana kwa majuto.
Ana maana gani kujuta wakati mke alimuacha mwenyewe kwa hiyari yake kwa tamaa za mali za jide? matokeo yake kaondoka na boxer tu *****, jide mbaya
 
Ndi ndi ndi
85882b3d2a559b1d331efcee9be25423.jpg
97c0868881fe6922c83ab7d2e0c080f3.jpg
 
Kama yule Dada kaolewa bora maana aliadhirika sana hadi kwenye magazeti Gardner alisema si mke wake wamezaa tu Leo kasahau anadai alikuwa mke kweli dunia hii TENDA JEMA UTENDEWE
Tafadhali naomba km una picha yake
 
jide yupo juu akae akijua
...yuko juu kwa sekta gani..? be specific , maana mwenzio katema mzigo inamaana kuna mahali anapataka yeye pamepungua,...
 
Back
Top Bottom