BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Bora ukosee kujenga nyumba utabomoa kulko kukosea mke"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapi tena, sijasikia binamu, looh davtor na idris wana mambo, si waoane tu, nasikia davtor alipigwa stop kukanyaga kwa idrisWarumi leta ubuyu wa Idris, Wema na Davito...naskia jana usiku kilinuka Davito na Idris ha ha haaa dunia ina mambo looh
I miss yondi ndi ndii
miss u too😉I miss yo
Mkuu tena uwaambie hata raisi wao ni mwanaume wa Dar.Siyo nauli tu, atafikia wapi? Watu walioikosa dar ndo wanaponda wanaume wa dar. Dar ndo kila kitu.
oh kumbeee ningepita ningeumbuka kaka...!!Nimeondoka pale Kwa sasa....!
Gadner hakumuacha mkewe kwa sababu ya Jide aliyemleta mjini ndio aliyeporwa na Jide,jamaa umarioo kitambo acha astaafukama ukipata mke mwenye murano unamuacha tu, ukitoswa unatubu kama kaka gadner
tatizo hili liyahaya halibebeki...!! bora tu alivyoachwa na ile ngeu yake ya uso..afu nasikia anapenda sana michezo ya mombasaa!!ha ha ha...😀Yahaya unaishi wapi!
Daaah!!!Namba yake sikupi broView attachment 335956
Ulitaka akujadili ww.? Mijitu mingn sjui vpMbona wewe kila post yako huwa unajadili watu? Anyway probably that is your hobby...
Subiri majibu ya Mwanaume wa dar utashangaa, hahah.Mbona wewe kila post yako huwa unajadili watu? Anyway probably that is your hobby...
Nishayaona, teh teh teh...Subiri majibu ya Mwanaume wa dar utashangaa, hahah.
Hahaha yavumilie tu, ndo ukubwa huo chief, hahahNishayaona, teh teh teh...
Neno hilo....Gadner nae mmbea, wakat anaendesha Murano ya Jide na Range Rover alikua hajutii? leo katoswa ndo anajifanya nyoko nyoko, atajibeba mwaka huu, ndio maana matapishi ya Clouds
Nitafute....!oh kumbeee ningepita ningeumbuka kaka...!!
Binamu huko insta asubuhi ya leo kulichachamaa miscreenshot ya WhatsApp text za kubwagana kati ya Wema na Idris mara Davito nae kaibuka kumchamba Idris basi vurumai tupuwapi tena, sijasikia binamu, looh davtor na idris wana mambo, si waoane tu, nasikia davtor alipigwa stop kukanyaga kwa idris