Gardner G Habash: Najuta kuachana na mke wangu wa kwanza

Gardner G Habash: Najuta kuachana na mke wangu wa kwanza

Siyo nauli tu, atafikia wapi? Watu walioikosa dar ndo wanaponda wanaume wa dar. Dar ndo kila kitu.
aaaaah!! umeona eeh? Dar ndo kila kitu, mapovu yanawatoka pa kufikia wala nauli hawana
 
Warumi leta ubuyu wa Idris, Wema na Davito...naskia jana usiku kilinuka Davito na Idris ha ha haaa dunia ina mambo looh
wapi tena, sijasikia binamu, looh davtor na idris wana mambo, si waoane tu, nasikia davtor alipigwa stop kukanyaga kwa idris
 
kama ukipata mke mwenye murano unamuacha tu, ukitoswa unatubu kama kaka gadner
Gadner hakumuacha mkewe kwa sababu ya Jide aliyemleta mjini ndio aliyeporwa na Jide,jamaa umarioo kitambo acha astaafu
 
Yahaya unaishi wapi!
tatizo hili liyahaya halibebeki...!! bora tu alivyoachwa na ile ngeu yake ya uso..afu nasikia anapenda sana michezo ya mombasaa!!ha ha ha...😀
 
Maji yashamwagika Gardner muhimu angalia mwanao ,kuanguka sio mwisho wa kila kitu kumbuka kuanguka kwa mvua ni mwanzo wa neema.
 
Hawa clouds na EFm
mbona wanabadilishana watangazaji
 
Dada etu nimemkoti anasema alisahau kama kichaa huwa haponi !! Teh teh teh
 
Gadner nae mmbea, wakat anaendesha Murano ya Jide na Range Rover alikua hajutii? leo katoswa ndo anajifanya nyoko nyoko, atajibeba mwaka huu, ndio maana matapishi ya Clouds
Neno hilo....
 
wapi tena, sijasikia binamu, looh davtor na idris wana mambo, si waoane tu, nasikia davtor alipigwa stop kukanyaga kwa idris
Binamu huko insta asubuhi ya leo kulichachamaa miscreenshot ya WhatsApp text za kubwagana kati ya Wema na Idris mara Davito nae kaibuka kumchamba Idris basi vurumai tupu
 
Back
Top Bottom