Gardner G Habash: Najuta kuachana na mke wangu wa kwanza

Gardner G Habash: Najuta kuachana na mke wangu wa kwanza

Amesema mke wake huyo kwa sasa aliolewa japo wana mawasiliano mazuri sababu ya mtoto wao.
Aisee we Gardner, hii kauli usirudie tena manake sie wengine tuna wivu wa kurithi!

Yaani unajinasibu kuwa na mawasiliano mazuri na mke wa mtu kwa gia ya mtoto? Kwa mtoto gani kubwa zima lile? Au kuna mwingine zaidi ya yule binti mrembo? Halafu mbaya zaidi ushatangulia kusema unajuta kuachana nae-- tusitafutane ubaya hivyo... we twende tu!
 
Binamu huko insta asubuhi ya leo kulichachamaa miscreenshot ya WhatsApp text za kubwagana kati ya Wema na Idris mara Davito nae kaibuka kumchamba Idris basi vurumai tupu
mchambo ulikuwaj jaman? niliona idris alivyomuita davto shoga kwenye mahojiano ntv
 
Bora Gadner hajazungumzia ya mtalaka wake maana angekua Sadifa hapo angemwagika kama urojo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] yani sadifa mi simuelewi anafanya kazi sa ngapi kutwa kutupigisha umbea wa mkewe insta....mwanaume ana mdomo sijaona chaaa...wanaume wa pwani shkamoo. .huko jimboni kwake wanamuona kweli?
 
Umeamua kulaani kabisa Mtumishi
Hapana silaani. Kama kuna sababu za msingi za kumwacha mke au mume ni sawa kabisa. Lkn anayemwacha mke kwaajili ya mwanamke mwingine na alaaniwe.
Na amesema kabisa anajuta kumuacha mke wake wa kwanza...means mke hakuwa na tatizo bali ni yeye.
 
Mimi ninaamini mke wa kwanza kabisa ulieoana nae huyo ndio ubavu wako.Hakuna kosa kubwa kama kumuacha mkeo wako wa kwanza.Labda itokee amefariki hapo sawa,laasivyo..unajitafutia majanga tu
HATA KAMA CHANGUDOA UNAKOMAA NAE TU AU SIO?
 
dunia hadaa ulimwengu shujaa aisee sasa ni majuto ni mjukuu

wanaume mmezidi kusarandia ndo maana mnajikoroga ona sasa yalipo unakwenda kurudia kulekule aiseee
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] yani sadifa mi simuelewi anafanya kazi sa ngapi kutwa kutupigisha umbea wa mkewe insta....mwanaume ana mdomo sijaona chaaa...wanaume wa pwani shkamoo. .huko jimboni kwake wanamuona kweli?
hahaha nikiona jina sadifa tu huwa nacheka mmmh
 
Gadner nae mmbea, wakat anaendesha Murano ya Jide na Range Rover alikua hajutii? leo katoswa ndo anajifanya nyoko nyoko, atajibeba mwaka huu, ndio maana matapishi ya Clouds
Kapewa Land rover Discovery na clouds! Kama issue ni gari!
 
Gadner nae mmbea, wakat anaendesha Murano ya Jide na Range Rover alikua hajutii? leo katoswa ndo anajifanya nyoko nyoko, atajibeba mwaka huu, ndio maana matapishi ya Clouds
Umbea wake uko wapi?!?!? Unaelewa maana ya mke wa KWanza au unasikia tu! Hebu muacheni Gadner na maisha yake!
 
Back
Top Bottom