Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama yeye kasema mshahara wake ni siri kawezaje kujua mishahara ya watangazaji wengine ilihali anajua kuwa wapo kampuni tofauti tofauti.Amesema anawazidi watangazaji wote nchini!!
NashangaaSasa wewe umejuaje kama ni Siri au wewe ndo Gardner unatafuta mbadala wa Jide.....?
Hata Dr Shika mlimchukulia poa hivyo hivyo!!Sasa mbona kachokatu
Kwani Charls na Gardner wanafanana?!!Charles Hilal ameacha kazi BBC, halafu azidiwe mshahara na Gadner? Mnaijua mishahara ya BBC, acheni jokes basi
60Kama Milion 6?
na ujue mishahara ya watu ili ugundue nini??? fanya yako kila mtu na jasho lakeNdio maana nawapenda watu wa Kenya kuhusu mambo ya upashaji wa habari. Ukitaka kujua mfano mishara ya watangaji wa TV mara moja Google inakupa lakini hapa TZ tunaletewa hadithi tu.
Kwani wanalipwa kwa kufanana sura?Hata Dr Shika mlimchukulia poa hivyo hivyo!!
Kwani Charls na Gardner wanafanana?!!
khaaaaaaa umekula maharagwe ya WAP we mkuuMnajua pesa Anayolipwa Sam Kimanta wa Singida Fm nyie au mnasema tu
Charles hillary hayupo kwenye radio shehLabda kwa upande CMG, vipi mtu kama Charles Hilary nazani atakuwa analipwa zaidi ya Gardner.
na ujue mishahara ya watu ili ugundue nini??? fanya yako kila mtu na jasho lake
Bangi hizi mkuuMnajua pesa Anayolipwa Sam Kimanta wa Singida Fm nyie au mnasema tu
Na bado anahimiza watu WAJIAJIRIMtangazaji wa kituo cha radio cha Clouds Media Gsrdner Habash ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi kuliko watangazaji wote wa radio nchini Tanzania. Kiasi anacholipwa kinabaki kuwa siri kati ya Gardner na mwajiri wake CMG. Katika mahojiano yaliyofanyika leo kati yake na watangazaji wenzie wa clouds tv Gardner amethibitisha hilo na kudai kama kuna mtangazaji anayemzidi mshahara basi ajitokezeSource Clouds Tv!