Gardner wa Clouds adai ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote hapa Tanzania!

Gardner wa Clouds adai ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote hapa Tanzania!

inawezekana, maana nimemuona kwenye tv akijitamba tamba kidogo kuhusu mshahara wake. alafu pia aliporudi clouds si alipewa ile gari discovery 3, kwahiyo hadhi yake inawezekana ni kubwa.
 
Mtangazaji wa kituo cha radio cha Clouds Media Gsrdner Habash ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi kuliko watangazaji wote wa radio nchini Tanzania. Kiasi anacholipwa kinabaki kuwa siri kati ya Gardner na mwajiri wake CMG. Katika mahojiano yaliyofanyika leo kati yake na watangazaji wenzie wa clouds tv Gardner amethibitisha hilo na kudai kama kuna mtangazaji anayemzidi mshahara basi ajitokezeSource Clouds Tv!
Babby Kabaye ndiye anayelipwa zaidi kuliko jiabashi..
 
6d5c626d9188072fe5d8416321a8ae06.jpg


Acha uwongo kijana kawa almasi uyo mpk alipwe milioni 60
Unatisha mzee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afu kuanzia mtoa mada mnaboa
Mara unaijua anayolipwa charles
Mara masoudy mara mnijua anayolipwa fulani???
Shubamitiiiiiiii kama mnajua si mseme sasa
 
Nafikiri atakuwa anaongoza huko huko CMG na sio bongo nzima
 
Ni ukweli.

Sababu
(1) clouds ilibidi itumie nguvu kubwa kumrudisha kutoka e fm.Ilikua in lazima wampe mpunga mrefu ili aache kazi e fm
(2)Clouds uwa wanawapa bonus watangazaji wao kutokana na matangazo,Jahazi lina matangazo mengi sana kwaiyo ni haki kulipwa kuliko mtangazaji yeyote nchini.
 
Mtangazaji wa kituo cha radio cha Clouds Media Gsrdner Habash ndiye mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi kuliko watangazaji wote wa radio nchini Tanzania. Kiasi anacholipwa kinabaki kuwa siri kati ya Gardner na mwajiri wake CMG. Katika mahojiano yaliyofanyika leo kati yake na watangazaji wenzie wa clouds tv Gardner amethibitisha hilo na kudai kama kuna mtangazaji anayemzidi mshahara basi ajitokezeSource Clouds Tv!
Acha unafki mkuu, sema amehojiwa na Shilawadu na hakutaja fedha zaidi ya kucheka cheka tu
 
Back
Top Bottom